Radio Tadio
Ujuzi
28 November 2022, 14:54 pm
Tunajenga chuo cha Mafuta, Gesi na Umeme ili kuwajengea uwezo watu wetu
Waziri wa Nishati, Januari Makamba akiwa kwenye utiaji saini mkataba wa uzalishaji na ugawanaji mapato (PSA) kitalu cha Ruvuma – Mtwara, Waziri Makamba amesema >> ‘Ndugu zangu wa Lindi na MTWARA – sasa nchi yetu inaanza kuingia kwenye uchumi wa…
4 November 2021, 11:44 am
Hali ya utoaji na upokeaji chanjo ya uviko 19 inaridhisha
Na; Mariam Matundu Imeelezwa kuwa hali ya utoaji na upokeaji chanjo ya uviko 19 inaridhisha kwakuwa wananchi wamehamasika na wanajitokeza kwa wingi hasa wananchi wanaoishi vijijini . Aidha wanawake wametajwa kujitokeza kwa wingi katika kupata chanjo hiyo maeneo yote nchini…