uharibifu
15 Januari 2026, 11:27 mu
Gunners yaachana na Juma Ikaba
Ikaba ndiye kocha alianza kukinoa kikosi cha guuners kwanzia ligi ya mkoa kisha daraja la pili na kwa sasa alikuwa akikiongoza kikosi hichi katika ligi daraja la kwanza. Na Hamis Makila.Kikosi cha guuners kimefikia makubaliano ya pande zote mbili ya…
10 Novemba 2025, 4:20 um
Gunners na tumaini la kuibuka na alama tatu
Kocha mkuu wa timu hiyo ya Gunners Juma Ikaba anasema wana imani kubwa wataibuka na alama tatu katika mchezo unao fuata wa ligi hiyo dhidi ya mchezo wao na Geita gold.
Septemba 12, 2023, 7:51 mu
RUWASA Ileje walia na uharibifu wa mazingira
Na Denis Sinkonde, Songwe Wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini RUWASA wilayani Ileje mkoani Songwe walia na changamoto ya uharibifu wa vyanzo vya maji hali inayopelekea baadhi ya miradi kutotoa maji kama ilivyokusudiwa. Hayo yamebainishwa na mratibu wa…
4 Julai 2023, 08:59
Kigoma: Wapigwa faini milioni 4.4 na KUWASA kwa kujiunganishia maji
Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Manispaa ya Kigoma Ujiji, KUWASA imewatoza faini ya shilingi milioni nne na laki nne watu wawili kwa kosa la kujiunganishia maji kinyume na taratibu. Na, Tryphone Odace. Mamlaka ya Maji safi na…