Radio Tadio
10 November 2025, 4:20 pm
Kocha mkuu wa timu hiyo ya Gunners Juma Ikaba anasema wana imani kubwa wataibuka na alama tatu katika mchezo unao fuata wa ligi hiyo dhidi ya mchezo wao na Geita gold.
September 12, 2023, 7:51 am
Na Denis Sinkonde, Songwe Wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini RUWASA wilayani Ileje mkoani Songwe walia na changamoto ya uharibifu wa vyanzo vya maji hali inayopelekea baadhi ya miradi kutotoa maji kama ilivyokusudiwa. Hayo yamebainishwa na mratibu wa…
4 July 2023, 08:59
Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Manispaa ya Kigoma Ujiji, KUWASA imewatoza faini ya shilingi milioni nne na laki nne watu wawili kwa kosa la kujiunganishia maji kinyume na taratibu. Na, Tryphone Odace. Mamlaka ya Maji safi na…