Radio Tadio

TARURA

19 November 2023, 4:37 pm

Madiwani Maswa wakerwa na majibu ya TARURA

 TARURA wilayani Maswa mkoani Simiyu inayohudumia mtandao wa barabara wenye jumla ya Km 184.2 na iliyofikia 77% ya Barabara zinazopitika kwa nyakati zote za msimu sawa na km 837.39 imelalamikiwa kwakushindwa kupeleka   kwa wakati wakandarasi kwenye baadhi ya Barabara Wilayani…

17 February 2023, 1:55 pm

TARURA yakamilisha marekebisho ya barabara kata ya Chiboli

Marekebisho hayo yanapunguza adha ya wananchi wa kata hiyo kusafiri  Umbali wa kilometa zaidi ya ishirini na nane kwa usafiri wa pikipiki. Na Victor Chigwada                                                         Diwani wa Kata ya Chiboli  Wiliamu Teu ameishukuru mamlaka ya usimamizi barabara za vijijini na…

2 February 2023, 10:46 am

TARURA kutatua changamoto ya barabara Chamwino

Wakala wa barabara vijiji na mijini Tarura inatarajia kutatua changamoto ya barabara wilayani Chamwino kupitia bajeti ya mwaka 2023/2024. Na Seleman Kodima. Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Chamwino imesema inatarajia kutatau changamoto ya Miundombinu ya Barabara  katika…

1 February 2023, 2:38 pm

Bilioni 4.2 Kutengeneza  na  Kukarabati  Barabara wilayani Maswa

Wakala  wa   Barabara  za  Mjini  na  Vijijini ( TARURA)  Wilayani  Maswa  Mkoani  Simiyu  imepanga  kutumia   Zaidi  ya  Tsh, Bilioni 4.22  kwa  mwaka  wa  Fedha 2023/ 2024  katika   Kukarabati na  Kutengeneza  Mtandao  wa  Barabara.. Akiwasilisha  Taarifa  ya  Makadirio  hayo  ya  Fedha…