Radio Tadio

Tanzia

16 June 2026, 17:38

Umuhimu wa kuweka akiba ili kufikia malengo

Ni muhimu kutenga sehemu ya mapato mara tu yanapopatikana, kuandaa bajeti na kuepuka matumizi yasiyo ya lazima ili kuongeza uwezo wa kutimiza malengo yaliyowekwa. Wananchi wametakiwa kujenga utamaduni wa kuweka akiba kama njia muhimu ya kufanikisha malengo yao ya maendeleo…