Radio Tadio

TANESCO

18 Januari 2024, 17:03

Mkuu wa wilaya Kasulu ainyoshea kidole Tanesco

Mkuu wa wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma Kanal Isaac Mwakisu amemtaka meneja wa tanesco kuhakikisha wilaya inakuwa na umeme wa uhakika kutokana na ongezeko la viwanda vidogo vodogo ambavyo haviwezi kuendesha shughuli zake bila nishati hiyo. Kanal Mwakisu amesema hayo…

5 Aprili 2023, 3:00 um

Chinuguli waomba kuongezewa nguzo za umeme

Wamesema hali hiyo  inatokana na idadi ndogo ya nguzo zilizopo katika kijiji hicho ambazo zimeelekezwa katika Taasisi mbalimbali. Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Chinuguli Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kuwaongezea idadi ya nguzo za nishati ya umeme ili…

23 Juni 2022, 2:18 um

TANESCO yazindua huduma ya NIKONECT

Na; Benard Filbert. Shirika la umeme nchini Tanesco limezindua huduma ya kuwaunganishia umeme wananchi kwa haraka inayofahamika kama NIKONEKT  ambayo inafanyika mtandaoni pasipo kwenda kwenye ofisi za shirika hilo. Hayo yameelezwa na Sarah Libogoma afisa uhusiano na huduma kwa watejaTanesco…

5 Aprili 2022, 1:37 um

Uvutaji wa sigara hadharani upigwe marufuku

Na;Yussuph Hassan. Wananchi Jijini Dodoma wameiomba Serikali kutilia mkazo suala la baadhi ya watu kuvuta sigara hadharani kwani suala hilo limekuwa na madhara makubwa kiafya. Wakizungumza na kituo hiki baadhi ya wakazi hao wamesema kuwa kutokana na baadhi ya watumiaji…