Radio Tadio

SHUKRANI

31 January 2024, 08:39

Wizara ya Maji yaishukru UNICEF

Na Ezekiel Kamanga Naibu Waziri wa Maji Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi (Mb) amefanya mazungumzo na Mwakilishi Mkazi mpya wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Wanawake na Watoto Duniani (UNICEF) nchini Tanzania Bi. Elke Wisch. Mazungumzo yamefanyika katika ofisi za…

2 February 2023, 4:35 pm

Wadau Ihumwa waishukuru Dodoma fm

Wakiwa kwenye mahojiano leo Leornad Mwacha na Mdau kutokea Ihumwa ndugu Julius Chedego wamezungumza na mdau huyo kutoa shukrani zake juu ya radio hiyo. Na Martha Mgaya Mmoja wa wadau wa Dodoma fm Bwana Julius Chedego leo katika kipindi cha…

14 February 2022, 5:54 pm

Sera ya Taifa ya mwaka 2021 yazinduliwa

Na; Thadei Tesha. Kufuatia hivi karibuni mkamu wa Rais Mh Philip Mpango kuzindua sera ya taifa ya mazingira ya mwaka 2021 jijini hapa baadhi ya wananchi jijini hapa wameipongeza serikali kwa kuendela kuhamasisha suala la utunzaji wa mazingira katika jamii.…