Radio Tadio

Sayansi

26 September 2023, 10:29

Vitabu 4,559 vya sayansi kusambazwa wilayani Malinyi

Wakuu wa shule za sekondari wilayani Malinyi katika picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa vitabu na kaimu mkurugenzi mtendaji wilaya bwana Gasto Silayo kwenye hafula iliyofanyika katika viwanja vya shule ya msingi nawigo. Picha na Jackson Machoa. Vitabu hivyo vitasaidia…