Radio Tadio

Sayansi

11 Febuari 2026, 8:12 um

GECA yahimiza wasichana kuingia sekta ya sayansi Ifakara

Kupitia juhudi hizi, GECA na washirika wake wanaendelea kuweka msingi imara wa kizazi kipya cha wanawake wanasayansi watakaobadilisha dunia. Na Katalina Liombechi Wakati Dunia ikiadhimisha Siku ya Wasichana na Wanawake katika sayansi leo Februari 11,2026 Chini ya shirika la UNESCO,Shirika…

16 Septemba 2025, 3:33 um

UDOM yafungua rasmi mafunzo ya akili unde (AI)

Lengo kuu ni kuongeza uelewa na matumizi ya teknolojia ya Akili unde katika shughuli za maendeleo nchini. Na Seleman Kodima.Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimezindua rasmi mafunzo ya Akili Unde(AI), kwa kushirikisha wanafunzi pamoja na taasisi mbalimbali kutoka sekta binafsi…

26 Septemba 2023, 10:29

Vitabu 4,559 vya sayansi kusambazwa wilayani Malinyi

Wakuu wa shule za sekondari wilayani Malinyi katika picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa vitabu na kaimu mkurugenzi mtendaji wilaya bwana Gasto Silayo kwenye hafula iliyofanyika katika viwanja vya shule ya msingi nawigo. Picha na Jackson Machoa. Vitabu hivyo vitasaidia…