Radio Tadio

Mwanamke

20 Novemba 2023, 11:12 mu

Ushiriki wa mwanamke kwenye nafasi za uongozi

Nimefarijika kuona jinsi gani wananchi wa Mkunwa na viongozi wao wapo tayari kuhakikisha kwamba wanawake wenye uwezo na vigezo wanaweza kushiriki katika nafasi mbalimbali za uamuzi. Na Musa Mtepa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) umefurahishwa na Maendeleo ya Mradi wa…

17 Oktoba 2023, 14:25 um

Siku ya mwanamke anayeishi kijijini

Suala la ukatili bado linaendelea  katika jamii huku suala la undugu likiwa kikwazo kutokomeza, wanajamii wamekuwa wakifichiana matukio hayo hasa  rushwa ya ngono katika maeneo ya kazi na taasisi za elimu. Na Musa Mtepa Wananchi  mkoani Mtwara wametakiwa kukomesha vitendo…

26 Novemba 2021, 1:03 um

Mamlaka ya Serikali mtandao yaja na mfumo wa E. mrejesho

Na; Shani Nicolous. Mamlaka ya serikali mtandao ipo hatua za mwisho za usanifu wa mfumo unaoitwa E. mrejesho ambao utasaidia wananchi kuanadika pongezi au changamoto katika taasisi zote za umma. Akizungumza na Dodoma fm kupitia kipindi cha Dodoma live Kamishna…