Radio Tadio

Mtoto

19 August 2025, 2:50 pm

Mpango wa 95 tatu utafanikiwa kwa wananchi kupima afya

Ni bonanza lililohusisha vijana wenye umri wa miaka 10–19, ambapo wameshiriki katika majadiliano ya wazi na yenye mwongozo kuhusu ufuatiliaji wa matibabu , huduma bora za kliniki, mahusiano na marafiki, na changamoto mbalimbali ikiwemo unyanyapaa. Na Seleman Kodima. Ili kufanikisha…

4 December 2024, 11:16 am

Wanaume watakiwa kujitokeza kupima VVU

Wanaume wametakiwa kuacha tabia ya kusubiri wake zao wapime na kujiona wapo salama baada ya majibu. Na Lilian Leopord. Hofu na uoga  kwa baadhi ya wanaume imeelezwa kuwa chanzo kikubwa kinachowafanya kushindwa kujitokeza kupima maambukizi ya virusi vya ukimwi. Wakizungumza…

13 July 2023, 15:35 pm

Timu ya Mtoto Kwanza yatambulishwa Mtwara

Na Gregory Millanzi “Sisi kwenye mkoa wetu huu watoto wana shida kubwa ya kufanyiwa ukatili wa kijinsia, najua kupitia KIMAS na mradi huu utapambana na hatari zote ambazo zinatokana na hawa watoto, pia itaongeza uelewa wa malezi na makuzi ya…