
Mkoani

2 August 2024, 5:09 pm
Muuguzi anayependwa na wananchi wake
Harambee hiyo imefanyika wiki hii kijijini hapo ambapo wananchi hao wameweza kuchanga fedha zaidi ya shilingi milioni nne kwa ajili ya kumnunulia kiwanja muuguzi huyo ili aweze kujenga na kuishi kijijini hapo hata atakapostaafu kazini. Na Bernadetha Mwakilabi.Wananchi wa kijiji…

17 March 2023, 2:09 pm
WANAMAKANGALE WAMPONGEZA DC KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI.
Na Khadija Rashid Nassor Upatikanaji wa maji safi na salama shehiya ya Makangale Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba, ni miongoni mwa juhudi za Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Mgeni Khatib Yahya katika kuwaletea wananchi maendeleo. Mnamo mwezi wa…

17 March 2023, 1:48 pm
MRATIBU TAMWA:WANAWKE CHACHU YA MAENDELEO WANPOSHIKA NAFASI ZA UONGO…
Na Khadija Rashid Nassor. Uwepo wa viongozi bora na imra Wilaya ya Micheweni na Jimbo la Konde Mkoa wa Kaskazini pemba ni miongoni mwa matunda ya mwanaharakati mwanamke Fathiya Mussa Saidi ambae kwa sasa ni Mratibu wa Chama cha Waandishi…