Radio Tadio

Mkoani

2 August 2024, 5:09 pm

Muuguzi anayependwa na wananchi wake

Harambee hiyo imefanyika wiki hii kijijini hapo ambapo wananchi hao wameweza kuchanga fedha zaidi ya shilingi milioni nne kwa ajili ya kumnunulia kiwanja muuguzi huyo ili aweze kujenga na kuishi kijijini hapo hata atakapostaafu kazini. Na Bernadetha Mwakilabi.Wananchi wa kijiji…