![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Radio Tadio
17 March 2023, 2:09 pm
Na Khadija Rashid Nassor Upatikanaji wa maji safi na salama shehiya ya Makangale Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba, ni miongoni mwa juhudi za Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Mgeni Khatib Yahya katika kuwaletea wananchi maendeleo. Mnamo mwezi wa…
17 March 2023, 1:48 pm
Na Khadija Rashid Nassor. Uwepo wa viongozi bora na imra Wilaya ya Micheweni na Jimbo la Konde Mkoa wa Kaskazini pemba ni miongoni mwa matunda ya mwanaharakati mwanamke Fathiya Mussa Saidi ambae kwa sasa ni Mratibu wa Chama cha Waandishi…