Radio Tadio

Membe

13 September 2023, 5:46 pm

Wananchi Membe waomba semina zaidi mradi wa bwawa

Mradi huo wa kilimo cha umwagiliaji unatarajia kuchukua takribani hekari 8000 ambapo ndani yake ndipo yanapatikana mashamba ya wananchi wanao hitaji kufahamu hatima ya mashamba hayo. Na Victor Chigwada. Uelewa wa wananchi wa Kijiji cha Membe wilayani chamwini kuhusu Mradi…

28 March 2023, 4:46 pm

Wananchi Membe watarajia kunufaika na kilimo cha umwagiliaji

Na Mindi Joseph Ujenzi wa Bwawa la kilimo cha umwangiliaji Membe Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma umefikia asilimia 35 huku  ujenzi huo ukitarajiwa kukamilika mwezi Augosti 2023. Taswira ya Habari imezungumza na Mhandisi Saleh Ramadhan ambaye ni msimamizi mkuu wa ujenzi…