![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Marburg
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/20/2023/06/waziri-ummy.jpg)
2 June 2023, 10:17 pm
Homa ya marburg Kagera yatokomezwa
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameutangazia ulimwengu kuwa Kagera na Tanzania ni salama dhidi ya ugonjwa wa marburg na kwamba hakuna tena ugonjwa huo. Pamoja na hayo waziri Ummy pia amewashukuru watumishi wa wizara ya afya pamoja na mashirika ya…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2023/03/vlcsnap-2023-03-30-11h27m11s501.png)
30 March 2023, 6:52 pm
Zaidi ya wananchi 2249 wapatiwa elimu ya kujikinga na MARBURG
Wizara ya Afya kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imefanikiwa kufikia makundi mbalimbali ya watu ikiwemo wahudumu wa afya ngazi jamii na Wahudumu wa Afya Vituoni. Na Mindi Joseph. Elimu ya kujikinga na ugonjwa wa Marburg imeendelea kutolewa kwa kila mtanzania…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2023/03/vlcsnap-2023-03-22-11h14m08s996.png)
22 March 2023, 6:26 pm
Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya Marburg
Ugonjwa huu huambukizwa kutoka kwa Binadamu mmoja kwa mwingine hususani kwa njia ya kugusa majimaji ambayo yanaweza kuwa mate , mkojo, damu, machozi au kinyesi yatokayo kwenye maiti au Mgonjwa mwenye dalili, maambukizi pia yanaweza kutoka kwa Wanyama kwenda kwa…