Radio Tadio

Maliasili

5 July 2023, 1:54 pm

Mtoto afariki kwa kushambuliwa na Fisi

Kutokana na kuongezeka kwa matukio ya Fisi kushambulia watu na mifungo wilayani sengerema, hali hiyo imezua hofu, huku baadhi yao wakishindwa kufanya shughuli za maendeleo Na:Emmanuel Twimanye Mtoto   mwenye umri wa  miaka 5  aliyeshambuliwa na Fisi na kujeruhiwa sehemu  mbalimbali…