Radio Tadio

Mahusiano

15 September 2023, 12:36

Kushika simu ya mpenzi wako ni kosa kisheria

Kupekua simu ya mwenza au mpenzi imetajwa kuwa sababu ya mahusiano mengi kuvunjika bila kujua kama ni kosa kwa mujibu wa sheria. Na John Selijo – Mufindi l FM Wanaondoa na wapenzi wameshauriwa kuacha kupekua na kukagua simu za wenza…