Mahusiano
28 May 2026, 18:02
Elimu ya afya ya uzazi inawasaidiaje mabinti kuepuka mimba za utotoni?
Pia, unalenga kushughulikia vikwazo vya kijamii na kisheria vinavyowazuia wasichana kupata huduma za afya ya uzazi. Na Mariam Kasawa. Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Ulimwenguni WHO limetoa mwongozo mpya wa kimataifa unaolenga kuzuia mimba za utotoni na kuboresha…
11 October 2023, 4:24 pm
Dc Ileje awapiga marufuku vijana kufanya mapenzi na wazee wao
Na Denis Sinkonde, Songwe Mkuu wa wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe Farida Mgomi amewapiga marufuku wanawake watu wazima kujihusisha na mapenzi na vijana wa kiume wenye umri mdogo. Mgomi amesema hayo wakati wa mkutano wa kijiji Oktoba 10 mwaka…
15 September 2023, 12:36 pm
Kushika simu ya mpenzi wako ni kosa kisheria
Kupekua simu ya mwenza au mpenzi imetajwa kuwa sababu ya mahusiano mengi kuvunjika bila kujua kama ni kosa kwa mujibu wa sheria. Na John Selijo – Mufindi l FM Wanaondoa na wapenzi wameshauriwa kuacha kupekua na kukagua simu za wenza…