
Mafundi

10 June 2025, 1:44 pm
Mwongozo wa serikali wahitajika waliopata ujauzito kurejea shuleni
Licha ya serikali kuruhusu wanafunzi wanaopata ujauzito kipindi cha masomo kurejea Shule Lakini bado kumekuwa na changamoto lukuki. Na Kitana Hamis. Wadau wa Elimu wataka Mongozo wa Serikali kwa Wanafunzi wa Kike walio Pata Ujauzito kurejea Shule ili watimize ndoto…

7 November 2023, 3:42 pm
Chama cha mafundi kuboresha mazingira ya kazi zao Dodoma
Ufundi ni moja kati ya tasnia yenye mchango mkubwa katika kuanzisha ukuaji wa miji. Na Yussuph Hassan. Imeelezwa kuwa uwepo wa chama cha mafundi rangi na ujenzi Mkoani Dodoma itasaidia kwa kiasi kuboresha mazingira ya kazi kwa mafundi hao. Kutokana…

9 May 2023, 2:07 pm
Vijana Bahi watakiwa kujiajiri
Mtaji wa kutosha kwaajili ya kuendesha kiwanda hicho unatajwa kuwa changamoto kwa vijana hao. Na Bernad Magawa Ili kupunguza tatizo la kukosekana kwa ajira za kutosheleza vijana wote wenye sifa za kuajiriwa hapa nchini, mafundi Seremala wilayani Bahi wamewaasa vijana…