Radio Tadio

Machinga

01/12/2024, 14:14

Dodoma yaendelea kuwavutia wawekezaji

Jiji la Dodoma linaendelea kuwataka wawekezaji wengine kuja kuweza Dodoma. Na Mariam Kasawa.Jiji la Dodoma limetajwa kuwa mahali sahihi pa uwekezaji hivyo wawekezaji mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi wametakiwa kuja kuwekeza katika mkoa huu. Serikali imeendelea kuweka mazingira…

4 Julai 2023, 11:17 mu

Mkurugenzi aamuru wafanyabiashara kuondoka kando ya barabara

Kutokana na wafanyabiashara mjini Sengerema kuendesha shughuli zao pembezoni mwa barabara na kupelekea hofu ya kutokea ajali, hali hiyo imemuibua mkurugenzi wa halmashauri hiyo na kutoa siku tatu kwa wafanyabiashara hao kuondoka maeneo hayo . Na: Said Mahera Mkurugenzi Mtendaji…

23/03/2023, 17:36

Machinga Dodoma wampongeza Rais Samia

Ni mkutano uliowakutanisha wafanyabiashara ndogo ndogo maarufu kama machinga ambapo awali ulitanguliwa na maandamano ya amani kwa ajili ya kumshukuru Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kutimiza miaka miwili madarakani. Na Thadei Tesha. Wafanyabiashara wa biashara ndogondogo maarufu…