Radio Tadio

Maagizo

8 January 2024, 17:31

RC Kigoma aagiza shule zote kutoa chakula kwa wanafunzi

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna jenerali mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye, amefanya ziara ya Kushitukiza kwa Baadhi ya Shule za Msingi na Sekondari za Halmashauri za Wilaya ya Kigoma na Manispaa ya Kigoma Ujiji, na…

14 December 2023, 1:24 pm

Dc Mkalipa awataka vijana kuacha ulevi uliopitiliza

Mkuu wa wilaya ya Hai Amir Mkalipa amewataka vijana katika vijiji vya kata ya Machame Magharibi kuacha unywaji wa pombe uliopitiliza kwani vijana ni nguvu kazi ya Taifa. Na Elizabeth Mafie. Serikali Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro imewataka vijana kuacha tabia…

3 February 2023, 3:16 pm

Maagizo matano kwa wakuu wa wilaya Tabora

Mkuu wa mkoa wa TABORA Balozi Daktari Batilda Buriani ametoa maagizo matano kwa Wakuu wa wilaya wa mkoa huo likiwemo la kwenda kusimamia masuala ya ulinzi na usalama katika maeneo yao. Maagizo hayo ameyatoa kwenye hafla ya uapisho wa wakuu…