Radio Tadio

Kisima

17 July 2026, 16:53

Mitazamo hasi kwa wenye ualbino inavyowaathiri kisaijolojia

Watu hao wamekuwa wakibaguliwa na hata kuitwa majina yasiostahili. Na Lilian Leopold.Mitazamo hasi inayoendelea kuwepo katika baadhi ya jamii kuhusu watu wenye ualbino, ikiwemo kuwaita majina yasiyofaa, imetajwa kuendelea kuwaathiri kisaikolojia na kuathiri ustawi wao. Jamii ya albino imekumbwa na…