
Radio Tadio
4 January 2024, 9:43 pm
Wadau ,wanasiasa wa vyama vya upinzani pamoja na wananchi wamekua wakitoa maoni tofouti juu marekebisho katika miswada hiyo. Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa wananchi kushiriki ipasavyo kutoa maoni na mapendekezo katika Marekebisho ya Muswada wa Sheria za uchaguzi wa…
13 September 2023, 1:23 pm
Wanasheria wanayo nafasi kubwa ya kuendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya katiba ya nchi ili kuwaongezea uelewa wananchi waweze kutambua haki na wajibu wao. Na Khadija Ayoub. Wananchi Jijini Dodoma wameiomba Serikali kuendelea kutoa elimu juu ya katiba ya…