
Kakakuona

13 May 2025, 4:47 pm
Tembo wageuka tishio wilayani Kiteto
Matukio hayo yamepelekea baadhi ya wananchi kuwa walemavu. Na Kitana Hamis.Kwa kipindi Cha Miezi 4 zaidi ya Watu 4 Wameuawa Wengine kujeruhiwa kwa kushambuliwa na Tembo. Matukio hayo yamepelekea baadhi ya wananchi kuwa walemavu huku Tembo hao wakiharibu mali pamoja…

23 April 2025, 6:13 pm
Afariki Dunia baada ya kukanyagwa na Tembo
Ikumbukwe kuwa hili ni tukio la Nne la Mwananchi kuuliwa na tembo katika kata ya Chifutuka ambapo Tembo wamekuwa wakitoroka katika hifadhi za kuingia katika makazi ya wananchi licha ya Askari wa TAWA kufanya jitihada za kuwafukuza katika maeneo ya…

14 April 2025, 5:54 pm
Mwili wa aliyekuwa mkuu wa chuo cha ualimu Mpwapwa waagwa leo
Aliye kuwa mkuu wa chuo cha ualimu Mpwapwa alifariki dunia kwa ajari ya gari Mkuu wa wilaya ya Mpwapwa ameongoza waombelezaji kuuga mwili wa aliyekuwa Mkuu wa chuo cha ualimu Mpwapwa aliyefariki kwa ajali April 10, 2025 Mji wa serikali…

11 February 2025, 5:41 pm
Madereva bodaboda 759 wafariki kati ya mwaka 2022 na 2024
Mbali na vifo vya madereva hao, Sillo amesema kuwa wananchi wa kawaida 283 pia wamefariki dunia kutokana na ajali za bodaboda katika kipindi hicho. Na Lilian Leopord.Jumla ya madereva bodaboda 759 wamefariki dunia kutokana na ajali kati ya mwaka ya…

6 January 2025, 1:30 pm
Wananchi wanajikingaje na ajali za barabarani?
Ajali za barabarani kuanzia Januari hadi Desemba mwaka 2024 zilikuwa 1,735, huku ajali 1,198 zilisababisha vifo vya watu 1,715. Na Lilian Leopord.Kuzingatia alama za Barababani na uendeshaji salama ni miongoni mwa tahadhari zinazochukuliwa na baadhi ya madereva wa vyombo vya…

4 November 2024, 7:34 pm
10 wanusurika ajali ya gari Dodoma
Na Lilian Leopord. Hali za majeruhi 10 ambao wamenusurika katika ajali iliyotokea Novemba 3 katika Kata ya Makulu jijini Dodoma na kupatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma imeendelea kuimarika. Afisa Uhusiano na Mawasiliano katika hospitali ya…

19 April 2023, 2:43 pm
Ishara zipi ambazo kaka kuona hutabiri
Je chifu Tupa atamuwekea nini Kaka kuona ili aweze kutabiri ishara zinazo kuja. Na Yussuph Hassani. Hii ni imani ambayo ipo kwenye jamii na tulipo fika katika kijiji cha Makang’wa tulikuwa watu wa kijiji hicho wana hamu kubwa ya kutaka…

17 April 2023, 2:20 pm
Yafahamu maajabu na ishara za mnyama adimu Kakakuona
Mnyama huyu anapo onekana katikajamii nini huwa kinafanyika. Na Yussuph Hassan. Jamii nyingi huamini ishara za mnyama huyo kwani anapo onekana wanajamii huwa na hamu ya kufamamu ni nini ambacho atatabiri katika jamii hiyo hivyo hufanya mila ikiwemo kupiga ngoma…