Radio Tadio

jamii

8 April 2024, 12:26 PM

Meneja Crdb Masasi akanusha uvumi mkopo wa Mama Samia

mikopo Meneja wa Crdb Masasi Heriethi Rechengura akanusha upotoshwaji wa taarifa za mikopo inayo tolewa na Crdb Kwa akili ya kuwainua wanawake na kuitwa mikopo hiyo niya Mama Samia. Bi Herieth amekanusha uvumi huo Kwa kutoa ufafanuzi kuwa mikopo iliyopo…

27 January 2024, 00:30

Kyela: Mwamengo, UWT Nkuyu watoa kilo mia moja za mchele

Wakati Jumiya ya UWT kata ya Nkuyu ikijiandaa kusherehekea sikukuu yao, kilo miamoja za mchele zimetolewa na mdau wa maendeleo hapa wilayani Kyela Baraka Mwamengo. Na James Mwakyembe Kuelekea sherehe za jumuiya ya umoja wa wanawake UWT kata ya Nkuyu…

25 September 2023, 17:52

Wananchi waishio mpakani waomba elimu zaidi chanjo ya polio

Baadhi ya wananchi waishio mipakani mwa Tanzania na Malawi wameiomba serikali kuendelea kutoa elimu ya chanjo ya polio kwani baadhi yao wameshindwa kuwapeleka watoto wao kupata chanjo hiyo. Na Samwel Mpogole Wananchi waishio mpakani mwa Tanzania na Malawi wameiomba serikali…

14 September 2023, 9:04 am

Changamoto za maisha isiwe chanzo cha utoro mashuleni

Wilaya ya Micheweni ni miongoni mwa wilaya ambazo zinaendelea kufanya vizuri katika mitihani yake ya taifa lakini bado kumekuwa na changamoto kwa baadhi ya wazazi na walezi kutowapa kipaombele watoto wao kuhudhiria skuli. Na Mwiaba Kombo Wanafunzi wa skuli za…

August 21, 2023, 6:08 pm

Ilindi waomba kata kupunguza safari ndefu kwenda Zongomela

Mwenyekiti wa mtaa wa Ilindi kata ya Zongomela Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, Dogo Mheziwa, ameliomba baraza la madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga kuhalalisha mtaa wa Mwime ya Ilindi kuwa kata inayoweza kujiendesha yenyewe ili kupunguza…