jamii
3 June 2024, 5:09 pm
Vijana waonywa wizi wa misalaba makaburi ya Chang’ombe
Makuburi ni mahala pa mapumziko ya milele kwa wafu na ni vyema jamii ikaacha tabia ya kuiba misalaba na mikanda ya vigae vya sakafu. Na Mindi Joseph.Wizi wa misalaba ya chuma katika Makuburi yaliyopo kata ya chang’ombe Jijini Dodoma umekithiri…
8 April 2024, 12:26 PM
Meneja Crdb Masasi akanusha uvumi mkopo wa Mama Samia
mikopo Meneja wa Crdb Masasi Heriethi Rechengura akanusha upotoshwaji wa taarifa za mikopo inayo tolewa na Crdb Kwa akili ya kuwainua wanawake na kuitwa mikopo hiyo niya Mama Samia. Bi Herieth amekanusha uvumi huo Kwa kutoa ufafanuzi kuwa mikopo iliyopo…
27 January 2024, 00:30
Kyela: Mwamengo, UWT Nkuyu watoa kilo mia moja za mchele
Wakati Jumiya ya UWT kata ya Nkuyu ikijiandaa kusherehekea sikukuu yao, kilo miamoja za mchele zimetolewa na mdau wa maendeleo hapa wilayani Kyela Baraka Mwamengo. Na James Mwakyembe Kuelekea sherehe za jumuiya ya umoja wa wanawake UWT kata ya Nkuyu…
27 December 2023, 21:30
Ibasa washerehekea Krismasi, mwaka mpya na wenye ualbino Kyela
Vifaa tiba pamoja na vifaa vya shule vyenye thamani ya shilingi milioni nne na laki tisa vimetolewa na umoja wa wanakyela waishio sehemu mbalimbali maarufu Ibasa katika kituo cha afya Njisi na sekaondari mpya ya njisi iliyoko kata ya Njisi…
November 17, 2023, 7:46 pm
Mvua yaleta maafa Makete, wananchi watakiwa kupanda miti kwa wingi
Kutokana na Mamlaka ya Hali ya Hewa kutangaza mvua nyingi, wananchi wameaswa kupanda miti katika maeneo yao ili kuepukana na adha ya kuezuliwa nyumba zao. Na mwandishi wetu. Mkuu wa wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda ametoa pole kwa wananchi…
17 November 2023, 16:56
Wanahabari Mbeya wapewa mbinu za kukabiliana na majanga ya moto
Na Mwanaisha Makumbuli Wanachama wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Mbeya, (MBPC) wamepewa mafunzo ya kukabiliana na majanga ya moto ili kuwajengea uwezo wa kujikinga na kuchukua tahadhari dhidi ya majanga hayo. Pia mafunzo hayo ya siku moja…
25 September 2023, 17:52
Wananchi waishio mpakani waomba elimu zaidi chanjo ya polio
Baadhi ya wananchi waishio mipakani mwa Tanzania na Malawi wameiomba serikali kuendelea kutoa elimu ya chanjo ya polio kwani baadhi yao wameshindwa kuwapeleka watoto wao kupata chanjo hiyo. Na Samwel Mpogole Wananchi waishio mpakani mwa Tanzania na Malawi wameiomba serikali…
14 September 2023, 9:04 am
Changamoto za maisha isiwe chanzo cha utoro mashuleni
Wilaya ya Micheweni ni miongoni mwa wilaya ambazo zinaendelea kufanya vizuri katika mitihani yake ya taifa lakini bado kumekuwa na changamoto kwa baadhi ya wazazi na walezi kutowapa kipaombele watoto wao kuhudhiria skuli. Na Mwiaba Kombo Wanafunzi wa skuli za…
August 23, 2023, 2:00 pm
Vijana washauri kujiajiri na kuacha kusubiri ajira za serikali
Kata ya kagongwa ni miongoni mwa maeneo ambayo yanasifika kwa mchanganyiko wa watu mbalimbali kibiashara. Na Njile Ntelu Vijana wa mtaa wa Iponya Kata ya Kagongwa Manispaa ya kahama mkoani Shinyanga, wamesema kuwa wameondokana na utegemezi wa ajira kutoka serikalini…
August 21, 2023, 6:08 pm
Ilindi waomba kata kupunguza safari ndefu kwenda Zongomela
Mwenyekiti wa mtaa wa Ilindi kata ya Zongomela Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, Dogo Mheziwa, ameliomba baraza la madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga kuhalalisha mtaa wa Mwime ya Ilindi kuwa kata inayoweza kujiendesha yenyewe ili kupunguza…