Radio Tadio

jamii

2 Septemba 2025, 4:43 um

Jeshi la Polisi latoa ufafanuzi matukio ya utekaji

Na Yussuph Hassan.Jeshi la Polisi nchini Tanzania limetoa ufafanuzi kuhusu matukio ya utekaji na kupotea kwa watu ambayo yamekuwa yakiripotiwa mara kwa mara katika vituo vya polisi ambapo kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa kwa kina, imebainika kuwa si matukio yote…

2 Julai 2025, 10:21 mu

Afariki dunia baada ya kushambuliwa na fisi

Jitihada za kumwokoa hazikufanikiwa. Na Kitana Hamis.Kijana mmoja aitwaye Fredy Peter, mkazi wa Kijiji cha Seleto, Dareda Misheni, Wilaya ya Babati mkoani Manyara, amefariki dunia baada ya kushambuliwa na kundi la fisi . Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo,…

14 Agosti 2024, 4:48 um

Wazazi wazua taharuki taarifa za kutekwa kwa mtoto

Dodoma TV Inaendelea kufatilia tukio hili kwa ukaribu ili kujua ukweli kuhusu madai ya Mtoto kutekwa na Watu wasiojulikana ambao kulingana na maelezo ya Watoto wenzake wanasema mwenzao aliitwa na Watu waliokuwa kwenye Gari na kumchukua kisha kuondoka nae. Na…

1 Agosti 2024, 4:38 um

Bado tunautazama Mtaa wa Swaswa

Tuna vijana ambao wamepewa mafunzo na inspekta wa kituo cha polisi hapa mtaani hii inasaidia sana kuhakikisha usalama na ulinzi wa hapa. Na Yussuph Hassan.Na leo tena katika kipindi chetu tunaendelea kuangalia ni kwa jinsi gani mtaa huo umebarikiwa mandhari…

8 Aprili 2024, 12:26 UM

Meneja Crdb Masasi akanusha uvumi mkopo wa Mama Samia

mikopo Meneja wa Crdb Masasi Heriethi Rechengura akanusha upotoshwaji wa taarifa za mikopo inayo tolewa na Crdb Kwa akili ya kuwainua wanawake na kuitwa mikopo hiyo niya Mama Samia. Bi Herieth amekanusha uvumi huo Kwa kutoa ufafanuzi kuwa mikopo iliyopo…

27 Januari 2024, 00:30

Kyela: Mwamengo, UWT Nkuyu watoa kilo mia moja za mchele

Wakati Jumiya ya UWT kata ya Nkuyu ikijiandaa kusherehekea sikukuu yao, kilo miamoja za mchele zimetolewa na mdau wa maendeleo hapa wilayani Kyela Baraka Mwamengo. Na James Mwakyembe Kuelekea sherehe za jumuiya ya umoja wa wanawake UWT kata ya Nkuyu…