Radio Tadio

jamii

2 September 2025, 4:43 pm

Jeshi la Polisi latoa ufafanuzi matukio ya utekaji

Na Yussuph Hassan.Jeshi la Polisi nchini Tanzania limetoa ufafanuzi kuhusu matukio ya utekaji na kupotea kwa watu ambayo yamekuwa yakiripotiwa mara kwa mara katika vituo vya polisi ambapo kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa kwa kina, imebainika kuwa si matukio yote…

2 July 2025, 10:21 am

Afariki dunia baada ya kushambuliwa na fisi

Jitihada za kumwokoa hazikufanikiwa. Na Kitana Hamis.Kijana mmoja aitwaye Fredy Peter, mkazi wa Kijiji cha Seleto, Dareda Misheni, Wilaya ya Babati mkoani Manyara, amefariki dunia baada ya kushambuliwa na kundi la fisi . Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo,…

9 October 2024, 6:26 pm

Ulinzi na usalama waimarika Mkonze kudhibiti uhalifu, mauaji

Hali ya ulinzi na usalama imeimarika katika kata ya Mkonze kufuatia matukio kadhaa ya mauaji yaliyotokea katika kata hiyo kwa nyakati tofauti miiezi ya hivi karibuni. Akiongea na Dodoma TV, Mwenyekiti wa Mtaa wa Bwawani  katika kata hiyo Bwn. Sospeter Abel …

14 August 2024, 4:48 pm

Wazazi wazua taharuki taarifa za kutekwa kwa mtoto

Dodoma TV Inaendelea kufatilia tukio hili kwa ukaribu ili kujua ukweli kuhusu madai ya Mtoto kutekwa na Watu wasiojulikana ambao kulingana na maelezo ya Watoto wenzake wanasema mwenzao aliitwa na Watu waliokuwa kwenye Gari na kumchukua kisha kuondoka nae. Na…

1 August 2024, 4:38 pm

Bado tunautazama Mtaa wa Swaswa

Tuna vijana ambao wamepewa mafunzo na inspekta wa kituo cha polisi hapa mtaani hii inasaidia sana kuhakikisha usalama na ulinzi wa hapa. Na Yussuph Hassan.Na leo tena katika kipindi chetu tunaendelea kuangalia ni kwa jinsi gani mtaa huo umebarikiwa mandhari…

8 April 2024, 12:26 PM

Meneja Crdb Masasi akanusha uvumi mkopo wa Mama Samia

mikopo Meneja wa Crdb Masasi Heriethi Rechengura akanusha upotoshwaji wa taarifa za mikopo inayo tolewa na Crdb Kwa akili ya kuwainua wanawake na kuitwa mikopo hiyo niya Mama Samia. Bi Herieth amekanusha uvumi huo Kwa kutoa ufafanuzi kuwa mikopo iliyopo…

27 January 2024, 00:30

Kyela: Mwamengo, UWT Nkuyu watoa kilo mia moja za mchele

Wakati Jumiya ya UWT kata ya Nkuyu ikijiandaa kusherehekea sikukuu yao, kilo miamoja za mchele zimetolewa na mdau wa maendeleo hapa wilayani Kyela Baraka Mwamengo. Na James Mwakyembe Kuelekea sherehe za jumuiya ya umoja wa wanawake UWT kata ya Nkuyu…