jamii
2 September 2025, 4:43 pm
Jeshi la Polisi latoa ufafanuzi matukio ya utekaji
Na Yussuph Hassan.Jeshi la Polisi nchini Tanzania limetoa ufafanuzi kuhusu matukio ya utekaji na kupotea kwa watu ambayo yamekuwa yakiripotiwa mara kwa mara katika vituo vya polisi ambapo kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa kwa kina, imebainika kuwa si matukio yote…
28 August 2025, 3:33 pm
Jeshi la Polisi Tanzania mguu sawa kuelekea kampeni za uchaguzi mkuu 2025.
Vilevile, limewakumbusha wagombea kuzingatia ratiba na muda wa kampeni uliopangwa ili kuepuka mivutano, migongano au migogoro itakayoweza kusababisha uvunjifu wa amani. Na Mariam Kasawa.Jeshi la Polisi Tanzania limesema lipo tayari kuhakikisha amani, utulivu na usalama vinaendelea kudumishwa wakati wote wa…
2 July 2025, 10:21 am
Afariki dunia baada ya kushambuliwa na fisi
Jitihada za kumwokoa hazikufanikiwa. Na Kitana Hamis.Kijana mmoja aitwaye Fredy Peter, mkazi wa Kijiji cha Seleto, Dareda Misheni, Wilaya ya Babati mkoani Manyara, amefariki dunia baada ya kushambuliwa na kundi la fisi . Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo,…
9 October 2024, 6:26 pm
Ulinzi na usalama waimarika Mkonze kudhibiti uhalifu, mauaji
Hali ya ulinzi na usalama imeimarika katika kata ya Mkonze kufuatia matukio kadhaa ya mauaji yaliyotokea katika kata hiyo kwa nyakati tofauti miiezi ya hivi karibuni. Akiongea na Dodoma TV, Mwenyekiti wa Mtaa wa Bwawani katika kata hiyo Bwn. Sospeter Abel …
24 September 2024, 8:31 pm
Serikali kudhibiti wizi wa vifaa vya ujenzi uwanja wa ndege Msalato
Na Mindi Joseph Udokozi na wizi wa vifaa vya ujenzi wa uwanja wa ndege wa Kimataifa Msalato Jijini Dodoma umesababisha hasara kwa mkandarasi. Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mhe. Jabiri Shekimweri anasema serikali haitafumbia macho wizi wa vifaa vya ujenzi…
14 August 2024, 4:48 pm
Wazazi wazua taharuki taarifa za kutekwa kwa mtoto
Dodoma TV Inaendelea kufatilia tukio hili kwa ukaribu ili kujua ukweli kuhusu madai ya Mtoto kutekwa na Watu wasiojulikana ambao kulingana na maelezo ya Watoto wenzake wanasema mwenzao aliitwa na Watu waliokuwa kwenye Gari na kumchukua kisha kuondoka nae. Na…
1 August 2024, 4:38 pm
Bado tunautazama Mtaa wa Swaswa
Tuna vijana ambao wamepewa mafunzo na inspekta wa kituo cha polisi hapa mtaani hii inasaidia sana kuhakikisha usalama na ulinzi wa hapa. Na Yussuph Hassan.Na leo tena katika kipindi chetu tunaendelea kuangalia ni kwa jinsi gani mtaa huo umebarikiwa mandhari…
3 June 2024, 5:09 pm
Vijana waonywa wizi wa misalaba makaburi ya Chang’ombe
Makuburi ni mahala pa mapumziko ya milele kwa wafu na ni vyema jamii ikaacha tabia ya kuiba misalaba na mikanda ya vigae vya sakafu. Na Mindi Joseph.Wizi wa misalaba ya chuma katika Makuburi yaliyopo kata ya chang’ombe Jijini Dodoma umekithiri…
8 April 2024, 12:26 PM
Meneja Crdb Masasi akanusha uvumi mkopo wa Mama Samia
mikopo Meneja wa Crdb Masasi Heriethi Rechengura akanusha upotoshwaji wa taarifa za mikopo inayo tolewa na Crdb Kwa akili ya kuwainua wanawake na kuitwa mikopo hiyo niya Mama Samia. Bi Herieth amekanusha uvumi huo Kwa kutoa ufafanuzi kuwa mikopo iliyopo…
27 January 2024, 00:30
Kyela: Mwamengo, UWT Nkuyu watoa kilo mia moja za mchele
Wakati Jumiya ya UWT kata ya Nkuyu ikijiandaa kusherehekea sikukuu yao, kilo miamoja za mchele zimetolewa na mdau wa maendeleo hapa wilayani Kyela Baraka Mwamengo. Na James Mwakyembe Kuelekea sherehe za jumuiya ya umoja wa wanawake UWT kata ya Nkuyu…