Radio Tadio

Imani

8 April 2025, 5:58 pm

Mwenyekiti wa kitongoji adaiwa kumshambulia mwananchi

Huku chanzo ikidaiwa kuwa niutani ulipelekea kiongozi huyo na vijana wengine wawili kumshumbulia na kumsababishia majeraha sehemu ya kichwani na mikononi. Na Kitana Hamis.Kijana aliyefamika kwa Jina la Abdalla Omary Said, Mwenye Umri wa miaka 30, mkazi wa Magugu,Wilayani Babati…

18 February 2025, 6:39 pm

Waziri Pinda aunda tume kuchunguza mgogoro wa ardhi

Miongoni mwa walio Hudhuria Mkutano huo nipamoja na Wananchi wa Vijiji vya Wilaya ya Chemba. Na Kitana Hamis.Naibu waziri wa Ardhi Mh Geofrey Pinda ameunda tume ya kuchunguza mgogoro wa ardhi wilayani Kiteto uliodumu kwa muda mrefu. Awali wenyeviti wa…

7 September 2023, 10:21 pm

Akamatwa akituhumiwa kunajisi kanisa, lafungwa siku 30

Tukio la kunajisiwa Kanisa ni la pili kutokea mkoani Geita ikiwa ni miezi sita imepita baada ya kijana mmoja mkazi wa Geita kudaiwa kuvamia Kanisa Kuu la Kiaskofu Jimbo la Geita na kufanya uharibifu uliosababisha hasara ya Sh. milioni 48.2.…

4 February 2023, 11:08 AM

Mapadre na Watawa waombwa kutumia hekima na busara

Na Lawrence Kessy Askofu wa Jimbo Katoliki la Morogoro, Mhashamu Askofu Lazarus Vitalis Msimbe, SDS amewaomba mapadre na watawa kutumia hekima na busara za mababa wa Kanisa waliobobea kupitia maandiko mbalimbali ili wapate miongozo ili kupata uzoefu katika maisha ya…