Radio Tadio

Chamwino

22 October 2025, 3:20 pm

Kituo cha Afya Ilazo chaanza kutoa huduma za kibingwa

Huduma hizo za kibingwa zinatarajiwa kusaidia kupunguza msongamano wa wagonjwa katika hospitali za rufaa, sambamba na kuinua kiwango cha utoaji wa huduma za afya katikajamii. Na Lilian Leopold.Wananchi Mtaa wa Ilazo na maeneo ya jirani Jijini Dodoma wametakiwa kutumia fursa…