bikoni
20 Oktoba 2025, 11:50 mu
Mradi wa maji miji 28 upo hatua za mwisho Geita
Mradi wa Maji wa Miji 28 Geita ni sehemu ya mpango wa kitaifa unaotekelezwa katika mikoa kadhaa ikiwemo Geita Na Mrisho Sadick: Serikali Mkoani Geita imemtaka mkandarasi anayetekeleza mradi wa maji wa miji 28 wa Bilioni 124 kuhakikisha anakamilisha mradi…
10 Oktoba 2025, 11:05 mu
Senyamule ahamasisha ushiriki wa wazee katika uchaguzi
Picha ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamula katika kikao maalum kilichowakutanisha na wazee wa mkoa. Picha na Selemani Kodima. Kikao hicho kimehitimishwa kwa maazimio ya pamoja ya kuimarisha ushirikiano kati ya viongozi wa serikali na wazee katika…
6 Mei 2022, 3:05 um
Baadhi ya wakazi wa Ihumwa wakosa uelewa juu ya alama za mipaka
Na; Victor Chigwada. Baadhi ya Wananchi wa Ihumwa wametajwa kuwa na uelewa mdogo juu ya utunzaji wa Mali na miundombinu inayowekwa na Serikali kwa lengo la kuwanufaisha wananchi. Kutokana na hayo wananchi wa Ihumwa wamesisitizana juu ya suala la kulinda…
4 Agosti 2021, 12:10 um
Wazee Nchini washauriwa kutumia fursa ya chanjo ili kuimarisha kinga dhidi ya mi…
Na; Mariam Matundu. Wazee nchini wameshauriwa kutumia fursa ya chanjo dhidi ya ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya Korona UVIKO 19 ili kuimarisha kinga ya miili yao kipindi hiki ambacho Serikali imewapa kipaumbele. Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu Wizara ya…