Storm FM

vifo

3 May 2024, 11:29 am

Baada ya kifo cha mjamzito, zahanati yaanza kazi Lubanda

Baada ya kupita muda mrefu licha ya zahanati iliyojengwa kwa nguvu za wananchi kushindwa kutoa huduma, hatimaye kilio cha wananchi wa kijiji cha Lubanda kata ya Busanda kimesikika. Na: Ester Mabula – Geita Diwani wa kata ya Busanda Selemani Gwamala…

25 April 2024, 10:30 am

Mpanduji ajiua kwa kujichoma kisu kisa wivu wa mapenzi

Ingawa ni ngumu kuelewa sababu ya mtu kujaribu kujiua, watu wanaojaribu kujiua ndio wanajua ukweli wa jambo hilo, kwa mujibu wa Shirika la afya duniani  (WHO),zaidi ya watu 700,000 hufariki kwa kujiua kila mwaka. Na Ester Mabula – Geita Mpanduji…

23 April 2024, 10:16 am

Ugonjwa usiojulikana waua watoto wawili Geita

Serikali kupitia Wizara ya Afya nchini imeendeleza ajenda ya kuhamasisha jamii kuzingatia kanuni bora za kiafya ikiwemo matumizi ya vyoo bora, kunawa mikono nyakati muhimu na kutunza mazingira ili kujilinda na magonjwa ya kuharisha na kutapika. Na Kale Chongela –…

15 April 2024, 3:11 pm

Mvua yaua watoto wa familia moja Geita

Watoto mkoani Geita wamekuwa wahanga huku wengine wakipoteza maisha kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Na Mrisho Sadick – Geita Watoto wawili wa familia moja katika kijiji cha Nyakabale Kata ya Mgusu wilayani na Mkoani Geita wamefariki dunia baada ya kusombwa…