Storm FM
Storm FM
1 October 2025, 10:27 pm
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kuchoma moto nyumba ya wageni (villa) na kusababisha hasara kubwa ya mali. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi…
30 September 2025, 7:16 pm
Na Marino Kawishe Wazazi na Walezi wamehimizwa kutokuchoka kujinyima na kuwekeza kwa watoto wao ili wapate elimu bora itakayowasaidia kuchangamkia fursa mbali mbali wanapokuwa wamehitimu mafunzo yao. Akizungumza na wananchi mkoani Manyara kwenye mahafali ya kumi ya shule ya Amka…
25 September 2025, 7:47 pm
Jeshi la Polisi limeendelea kutoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika uchaguzi kwa njia ya amani, na kuwahakikishia kuwa ulinzi umeimarishwa katika maeneo yote ili kuhakikisha uchaguzi huru, wa haki na salama. Na Mary Julius. Kamanda wa Polisi Mkoa wa…
25 September 2025, 7:21 pm
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja limewataka wananchi kuwa na uelewa wa vigezo vya kisheria vinavyohitajika ili kesi za udhalilishaji ziweze kufikishwa mahakamani na haki kutendeka kwa waathirika.Akizungumza katika mahojiano maalum na Zenji FM, Mkuu wa…
23 September 2025, 8:30 pm
Bweni hilo litasaidia wanafunzi kupata Muda wa kusoma na kuongeza ufaulu. na Joyce Buganda Walimu wilaya ya Iringa wametakiwa kuhakikisha wanawasimamia ipasavyo wanafunzi kulinda na kutunza miundombinu ya shule. Akizungumza wakati wa ukaguzi wa mabweni katika Shule ya Sekondari William…
12 September 2025, 6:18 pm
Na Omar Hassan. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linamshikilia Mohamed Khamis Hamadi maarufu Edi Mkono(25) Mkazi wa Tunguu Mchamvyani kwa tuhuma za mauaji.Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa PolisI Mkoani Tunguu – Kusini Unguja (SACP) Daniel Shillah…
11 September 2025, 8:39 pm
Na Omar Hassan. Kamishna wa Polisi Zanzibar CP Kombo Khamis Kombo amekabidhi magari mapya 25 kwa Makamanda wa Polisi wa Mikoa na Wakuu wa Vitengo vya Polisi ambazo zimetolewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwaajili ya kuboresha…
10 September 2025, 9:42 pm
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar limewakumbusha wananchi wanaotaka kuweka namba au majina binafsi kwenye magari yao kuhakikisha wanazingatia utaratibu uliowekwa kwa kwenda kusajili namba hizo katika Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA).Akizungumza na waandishi wa habari, huko…
29 August 2025, 6:07 pm
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kiujitokeza katika maadhimisho ya juma la elimu ya watu wazima linalotarajia kuanza september 2 hadi september 4 mwaka huu katika viwanja vya Stendi ya zamani. Na Mzidalfa Zaid Afisa elimu ya watu wazima mkoa wa Manyara…
29 August 2025, 5:50 pm
Na Mary Julius. Kamishna wa Polisi Zanzibar, CP Kombo Khamis Kombo, ameweka wazi mikakati ya Jeshi la Polisi kuhakikisha usalama na amani wakati wa kampeni na uchaguzi. Katika mazungumzo yake na waandishi wa habari huko makao makuu ya Jeshi la…