Storm FM
magufuli
5 April 2021, 4:36 pm
Wazee Mjini Geita Waendelea kumuenzi Dkt John Pombe Magufuli
Baadhi ya wazee katika Halmashauri ya mji wa Geita wameomba viongozi mbalimbali kumuenzi Hayati Magufuli kwa kuwapa kipaumbele kwa huduma mbalimbali za kijamii kama ilivyokuwa enzi za utawala wa hayati Magufuli . Wazee hao wamesema kuwa hayati Magufuli watamkumbuka kwa…
2 April 2021, 3:45 pm
Viongozi wa mamlaka ya mji wa katoro wilayani Geita wamuenzi JPM
Baadhi ya viongozi wa mamlaka ya mji mdogo wa Katoro wilayani na Mkoani Geita wamesema katika kumuenzi Hayati Dkt John Pombe Magufuli watahakikisha wanafanya kazi kwa uadilifu. Kauli hiyo imetolewa na Afisa mtendaji wa kata ya Katoro wilayani Geita Bw…