Storm FM

magufuli

5 April 2021, 4:36 pm

Wazee Mjini Geita Waendelea kumuenzi Dkt John Pombe Magufuli

Baadhi ya wazee katika   Halmashauri ya mji wa Geita   wameomba viongozi mbalimbali kumuenzi Hayati Magufuli  kwa kuwapa kipaumbele kwa huduma mbalimbali za kijamii kama ilivyokuwa enzi za utawala wa  hayati Magufuli . Wazee hao wamesema kuwa  hayati Magufuli watamkumbuka kwa…