maadhimisho
2 May 2024, 3:52 pm
Walimu walia na uhaba wa nyumba za watumishi kata ya Nyamalimbe
Siku ya wafanyakazi duniani ambayo huadhimishwa kila mei mosi ya kila mwaka huangazia mafanikio na haki za wafanyakazi kwa kufanya maandamano, mikutano na matukio mengine yakiambatana na mashinikizo ya kutambua haki za wafanyakazi. Na: Edga Rwenduru – Geita Baadhi ya…
2 November 2023, 6:17 pm
Jioni Ripoti: Taarifa ya habari ya jioni 02-11-2023 Storm FM Geita
Bonyeza hapa kusikiliza
24 October 2023, 7:56 pm
Makala: Matumizi ya dawa holela bila kujua muda wa matumizi yake
Bonyeza hapa kusikiliza
3 September 2023, 11:00 am
Maonesho ya sita ya madini Geita, kusisitiza uhifadhi wa mazingira
Maonesho ya sita ya Madini yanayotarajiwa kufanyika mwaka huu mkoani Geita, yanatajwa kuwa chachu ya kuufungua mkoa kiuchumi na kuongeza fursa mbalimbali za uwekezaji katika sekta ya Madini. Na Said Sindo -Geita Bwana Charles Chacha kutoka Idara ya Uwekezaji, viwanda…
12 July 2023, 1:32 pm
Makala: Mwananchi unaelewa nini kuhusu Dhamana?
Sikiliza Makala ya Tafakari Pevu iliyoandaliwa na Storm FM kuhusu Dhamana. Makala hii huruka kila siku ya Jumanne saa moja kamili hadi saa moja na dakika thelathini asubuhi na kurudiwa Jumamosi saa nne asubuhi 88.9 Storm FM Sauti ya Geita.…
4 July 2023, 2:49 pm
Makala: Unafahamu taratibu za kufuata kisheria unapomdai mtu?
Sikiliza Makala ya Tafakari Pevu iliyoandaliwa na Storm FM kuhusu taratibu za kufuata kisheria pindi unapomdai mtu. Sambamba na hilo Makala hii huruka kila siku ya Jumanne saa moja kamili hadi saa moja na dakika thelathini asubuhi na kurudiwa Jumamosi…
29 December 2022, 7:55 pm
Afariki dunia baada ya kusombwa na maji akivuka mto
Na Mrisho Sadick : Mtu mmoja aliefahamika kwa jina la Benjamini John mwenye umri wa miaka (30) Mkazi wa Kata ya Kasamwa Halmashauri ya mji wa Geita amefariki dunia baada ya kusombwa na maji wakati akijaribu kuvuka kwenye mto kwenda…
12 December 2022, 2:26 pm
Serikali yaahidi kuendeleza ushirikiano na viongozi wa dini
Serikali imeahidi kuendelea kushirikiana na viongozi wa Dini hapa nchini kwakuwa wamekuwa msaada katika kuchochea shughuli mbalimbali za maendeleo pamoja na kupambana na vitendo vya Ukatili wa kijinsia katika jamii. Kauli…