Storm FM
Storm FM
13 December 2025, 8:45 pm
Ujenzi huo utahusisha vyumba vya madarasa 6, jengo la utawala, vyoo matundu 18, Pamoja na vyumba viwili vya madarasa vya elimu ya awali. Na Adelinus Banenwa Kutokana na msongamano wa wanafunzi shule ya msingi Nyasura iliyopo kata ya Nyasura mjini…
4 December 2025, 9:50 pm
Uzinduzi wa tovuti ya KNCC unatarajiwa kuongeza ufanisi katika utoaji wa taarifa,uhamasishaji wa jamii, na ushirikiano baina ya wadau wa uhifadhi, huku ikirahisisha upatikanaji wa taarifa za miradi, tafiti, na shughuli mbalimbali za mtandao huo Na Katalina Liombechi Tovuti rasmi…
23 November 2025, 7:51 pm
Mamlaka hiyo ya maji inakwenda kutatua changamoto kubwa ya maji inayokabili chuo hicho na jamii ya wakazi wa kisangwa kwa muda mrefu. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha shilingi milioni moja na laki nane kimepatikana katika mahafali ya 41 chuo cha…
18 November 2025, 9:06 pm
Umekuwa ni utaratibu wa Bank hiyo kutenga asilimia moja ya faida yao kwa mwaka kuirejesha katika kusaidia jamii katika huduma mbalimbali za kijamii kama vile afya na elimu. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa umbali kutoka nyumbani hadi shule ilikuwa ikipelekea…
13 November 2025, 1:30 pm
Kwasasa gunia la viazi mviringo limepanda kutoka shilingi elfu sabini na tano 75,000 hadi zaidi ya laki moja 100,000 Na Mrisho Sadick: Wafanyabiashara wa viazi mviringo katika soko la Nyankumbu mkoani Geita wameamua kupandisha bei ya bidhaa hiyo kutokana na…
27 October 2025, 8:53 pm
Wananchi baada ya kupiga kura wanarejea majumbani mwao kwa utulivu, ili kuepusha mikusanyiko isiyo ya lazima katika maeneo ya vituo vya kupigia kura. Na Thomas Masalu Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Mhe. Aswege Enock Kaminyoge, amewatoa hofu wananchi wa wilaya…
27 October 2025, 8:37 pm
Mwenye jukumu la kulinda raia na mali zake kwa mujibu wa ni jeshi la polisi kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wananchi wilayani Butiama kujitokeza kwa wingi siku ya tarehe 29 oct 2025…
25 October 2025, 8:53 pm
Waliopoteza vitambulisho vyao vya kupigia kura na majina yao yapo kwenye daftari la kudumu la mpiga kura wanayo nafasi ya kupiga kura kwa kutumia vitambulisho vyenye majina yao kama vile leseni ya udereva pass ya kusafiria au kitambulisho cha taifa…
25 October 2025, 10:01 am
TANAPA yafunga tembo kola ya GPS katika Hifadhi ya Nyerere ili kudhibiti uharibifu wa mazao na kupunguza migogoro kati ya wanavijiji na wanyamapori. Na; Isidory Mtunda Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) imefanikiwa kumfunga kifaa maalumu cha kufuatilia mienendo…
18 October 2025, 7:41 pm
Wanafunzi 195 wamesajiliwa kufanya Mtihani wa Taifa, ambapo wasichana ni 101 na wavulana 94. Na Adelinus Banenwa Jumla ya wanafunzi 195 wanatarajiwa kuhitimu masomo yao ya Kidato cha Nne mwaka 2025 katika Shule ya Sekondari Bunda Day, ambayo imefanya Mahafali…