Storm FM

elimu

26 April 2024, 11:47 am

Shirika la Plan International lawafuta machozi wasichana

Mradi wa KAGIS (Keeping Adolescent girls in shool) ambao unaratibiwa na shirika la Plan international umeendelea kuacha alama kwenye sekta ya elimu mkoani Geita kwa kuendelea kupunguza changamoto zinazowakabili watoto wa kike kuendelea na masomo. Na Kale Chongela – Geita…