Storm FM
elimu
2 May 2024, 4:13 pm
Wakazi mtaa wa Uwanja waomba shule ya upili (sekondari)
Licha ya jitihada za serikali kuwekeza katika elimu kwa kujenga shule mpya na za kisasa kwa baadhi ya maeneo nchini, bado ni kitendawili kwa wakazi wa mtaa wa Uwanja kutokana na kukosa shule ya upili (sekondari). Na: Edga Rwenduru –…
26 April 2024, 11:47 am
Shirika la Plan International lawafuta machozi wasichana
Mradi wa KAGIS (Keeping Adolescent girls in shool) ambao unaratibiwa na shirika la Plan international umeendelea kuacha alama kwenye sekta ya elimu mkoani Geita kwa kuendelea kupunguza changamoto zinazowakabili watoto wa kike kuendelea na masomo. Na Kale Chongela – Geita…