Storm FM

elimu

September 18, 2023, 10:31 pm

Shule yenye walimu wawili wa bailojia yaongoza kiwilaya Geita

Shule ya sekondari Lutozo iliyopo katika Mamlaka  ya mji mdogo Katoro, ina walimu wawili wa bailojia ambao hulazimika kufundisha wanafunzi 2,049 yenye jumla ya mikondo 26 kuanzia kidato cha kwanza mpaka kidato cha nne. Na Said Sindo- Geita Shule hiyo…