Storm FM

dini

23 April 2024, 4:21 pm

Jamii yakumbushwa kulea watoto katika misingi ya kidini

Malezi sahihi ya mtoto hutajwa kuwa kiungo muhimu katika kujenga taifa la kesho, hivyo wazazi na walezi wanahimizwa kuzingatia suala la malezi na makuzi ya mtoto kwenye misingi ya kumpendeza Mwenyezi Mungu. Na Joel Maduka – Geita Jamii imekumbushwa kuwa…

16 April 2024, 9:05 pm

Viongozi wa dini waonya serikali kulaumiwa kwa majanga ya asili

Kuendelea kutokea kwa majanga ya asili hapa nchini baadhi ya wananchi wameanza kuinyoshea kidole serikali huku baadhi ya viongozi wa dini wakionya. Na Nickolaus Lyankando – Geita Watanzania wametakiwa kuacha tabia ya kuilaumu serikali kutokana na majanga ya asili ambayo…