Storm FM

Madini

7 June 2024, 11:54 am

Wawili wafariki dunia baada ya kufukiwa na udongo Magenge

Uchimbaji mdogo wa madini kwenye maeneo yasiyo rasmi katika baadhi ya maeneo mkoani Geita bado ni kitendawili ambacho kinapelekea changamoto ikiwemo wachimbaji kupoteza maisha kutokana na ubovu wa miundombinu. Na: Edga Rwendru – Geita Watu wawili wamepoteza maisha baada ya…

3 May 2024, 7:43 pm

Kemikali ya zebaki tishio kwa wachimbaji Geita

Kukosekana kwa mbadala wa kemikali yenye gharama nafuu ya uchenjuaji wa madini ya dhahabu, imeendelea kuziweka rehani afya za wachimbaji wa madini mkoani Geita kwa kutumia kemikali ya zebaki yenye madhara kiafya. Na Mrsiho Sadick – Geita: Serikali imeanza kutoa…