Ruangwa FM

MADAWA

16 April 2021, 7:23 am

Acheni kutumia madawa ya kulevya – DC. Mgandilwa

Mkuu wa wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi, MH. HASHIM MGANDILWA, amewataka vijana wanaojihusisha na shughuli za uchimbaji wa madini katika mgodi mdogo wa madini ya dhahabu Njawale uliopo katika kijiji cha Mibure wilayani humo, kuacha tabia ya kutumia madawa ya…