Uncategorised
15 February 2024, 10:28 pm
Ruangwa wazindua zoezi la chanjo ya surua, rubela
Ruangwa yazindua zoezi la chanjo ya surua na rubela
15 February 2024, 8:49 pm
CBT yawanoa VEOs, maafisa ugani, makarani kidigtali zaidi
Bodi ya Korosho Tanzania yawanoa maafisa ugani,watendaji kata na makarani Ruangwa.
21 February 2023, 4:55 pm
Serikali itaendelea kushirikiana na wananchi – Mh. Majaliwa
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan itaendelea kuungana na wananchi katika kuimarisha miundomibu ya elimu ili kuhakikisha watoto Wakitanzania wanapata elimu bora na kutimiza ndoto zao. Waziri Mkuu…
21 November 2022, 3:35 pm
Mwanafunzi afariki kwa kuangukiwa na kabati Kilwa
Mwanafunzi wa Darasa la kwanza aliejulikana kwa jina la Adam Kaisi Jika (9) katika shule ya msingi Singino, wilayani kilwa mkoani Lindi, amefariki dunia baada ya kuangukiwa na kabati la kuhifadhia vitabu na madaftari wakati akicheza na wenzake shuleni hapo.…
17 November 2022, 3:56 pm
DC Ruangwa atoa siku mbili wafugaji kuondoka maeneo yasiyo rasmi
Mkuu wa wilaya ya ruangwa Hassan Ngoma amewaasa madiwani kusaidiana katika operation inayoendelea ya kuwafukuza wafugaji wanaoshi katika maeneo ambayo siyo rasmi wilayani Ruangwa “Oparesheni inaendelea mfugaji ambae Hana baraka za kijiji au ODC anatakiwa kuondoka wilaya ina eneo moja…
17 November 2022, 3:52 pm
Watoto wafundishwe kilimo- Chikongwe
Mwenyekiti wa halimashauri ya wilaya ya ruangwa Andrew Chikongwe amewashauri watendaji WA kata na vijiji pamoja na madiwani kuweka mipango ya wanafunzi kufundishwa kilimo ili kuwajengea watoto uwezo mzuri wa kujifunza Maisha ya kujitegemea wawapo mtaani. “Watendaji nendeni mashuleni watoto…
19 October 2021, 3:39 pm
DIT – Waanzisha kampeni kuhamasisha watoto wa kike mashuleni kusoma sayans…
Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam ( DIT) wamezindua kampeni ya ya kuhamasisha wanafunzi wakike kusoma masomo ya sayansi ili kuendana na kukua kwa teknolojia itakayowapa fursa zaidi katika uchumi wa viwanda. Kampeni hiyo imezinduliwa leo octoba 17 wilaya Ruangwa…
16 November 2020, 7:58 pm
Mkurugenzi ruangwa aagiza walimu kufundisha kwa bidii
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Ruangwa mkoani Lindi, FRANK FABIAN CHONYA, amewataka walimu kuendelea kufundisha kwa bidii na kwa mujibu wa kalenda ya masomo inavyowataka, ili kutimiza malengo ya ufaulu waliojiwekea katika halmashauri hiyo. Chonya ameyasema hayo jumatatu 16/11/2020…
22 October 2020, 2:08 pm
Wazee na viongozi wa dini ruangwa watakiwa kuhubiri amani kuelekea uchaguzi mku…
Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Ruangwa mkoani Lindi FRANK CHONYA amewataka wazee na viongozi wa dini wilayani humo kuhimiza amani na mshiskamano kwa wananchi na familia zao kuelekea uchaguzi mkuu octoba 28 mwaka huu ili Taiafa liweze kuendeleza maedeleo na…
19 October 2020, 10:40 am
Dc. Ruangwa – Wakulima lindeni mazao yenu
Mkuu wa wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi MH. HASHIM MGANDILWA, amewataka wakulima kuwa na utaratibu wa kuzidikiza mazao yao ghala kuu yanapotoka katika vyama vya msingi ili kuepuka ubadhilifu unaofanywa na baadhi ya wasafirishaji wakishirikiana na viongozi wa vyama vya…