politics
22 April 2024, 5:39 PM
Ahaidi kuandika historia nyingine licha ya kuwa historia ndefu
Na Lilian Martin Ni mwenyekiti wa CCM wilaya Masasi mwenyekiti wa CCM wilaya ya Masasi Bi Mariam Kasembe ameahidi kuandika historia mpya licha ya kuwa na historia ndefu nyuma uongozi, maumivu na kukatishwa tamaa amesemakuwa safari yake ya kuongozi ilianza…
23 March 2021, 9:12 AM
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi-CCM Wilaya ya Masasi wamlilia Rais Dkt. John Po…
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi-CCM Wilaya ya Masasi wamlilia Rais Dkt. John Pombe Magufuli na kueleza kuwa taifa limepoteza kiongozi shujaa na mpenda maendeleo na kwamba alikuwa ni mtetezi wa wananchi wanyonge hivyo wataendelea kumkumbuka milele. Wanachama hao leo Mach,…
3 March 2021, 11:44 AM
Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Mji Masasi wamepitisha Rasimu ya Mpango wa…
Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Mji Masasi mkoani Mtwara wamepitisha Rasimu ya Mpango wa Bajeti kwa Mwaka wa fedha 2021/2022 yenye Makadirio ya Mapato na Matumizi yenye thamani ya Sh.bilioni 19,651,959, 451.00 Bajeti hiyo wamepitisha jana ,Machi 2/2021 katika…
26 February 2021, 5:14 AM
BARAZA la Madiwani lapitisha Rasimu ya Bajeti 2021/2022
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara limepitisha Rasimu ya Mpango wa Bajeti kwa Mwaka wa fedha 2021/2022,Mpango huo umepitishwa katika kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika jana tarehe 24, Febuari katika ukumbi wa Halmashauri hiyo…
23 February 2021, 4:53 AM
Chama cha ACT WAZALENDO kimemteua Dorothy Semu
Chama cha ACT WAZALENDO kimemteua Dorothy Semu ambae ni makamu mwenyekiti bara kuwa kaimu mwenyekiti wa chama hicho Taifa baada ya mwenyekiti wa chama hicho Maalim Seif kufariki Dunia Februari 17 mwaka huu. Dorothy atakaimu nafasi hiyo mpaka mwenyekiti mpya…
17 February 2021, 10:51 AM
Rest In Peace- Maalim Seif Shariff Hamad.
Rais wa Zanzibar, Dkt.Hussein Mwinyi ametangaza kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Raisi wa Zanzibar , aliyefariki leo Jumatano saa 5:00 asubuhi.Maalim Seif amekumbwa na umauti katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam. Raisi…
12 January 2021, 3:18 AM
Rais Mwinyi Asamehe Wafungwa 49
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa msamaha kwa wanafunzi (wafungwa) Arobaini na Tisa (49) waliokuwa wakitumikia Vyuo vya Mafunzo vya Unguja na Pemba ikiwa ni miongoni mwa shamra shamra za Sherehe za…
11 January 2021, 4:07 AM
KIKAO cha Kamati ya Ushauri Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara utekelezaji wa miradi…
KIKAO cha Kamati ya Ushauri Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara ( DCC) kimeketi kwa ajili kujadili utekelezaji wa miradi ya maendeleo ambayo imetekelezwa kwa kipindi cha mwaka wa fedha, 2020/ 2021 ikiwa ni kikao cha kwanza kwa mwaka 2021 Aidha,…
17 December 2020, 11:19 AM
WATUMISHI wa Halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, wametakiwa kutumia u…
WATUMISHI wa Halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, wametakiwa kutumia utaalamu wao ili kuisaidia Halmashauri hiyo kuweza kupiga hatua ya kimaendeleo, ikiwemo kubuni vyanzo vipya vya mapato Aidha, watumishi hao wametakiwa kuacha kufanya kazi kwa mazoea badala yake wajikite…
17 December 2020, 11:12 AM