masasidc
20 March 2021, 6:23 AM
Madhara yatokanayo na mimba za utotoni-Radio Fadhila
Tatizo la mimba za utotoni limekuwa kubwa duniani na linaongezeka siku hadi siku hasa katika jamii ya uchumi wa chini. Sababu zinazopelekea jamii ya uchumi wa chini kukumbwa sana na tatizo hilo ni ukosefu wa taarifa za afya ya uzazi…
18 March 2021, 5:52 AM
Maoni Ya Wakazi Wa Masasi Kuhusu Kifo Cha Raisi maguli
18 March 2021, 4:03 AM
TANZIA: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli Afarik…
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli kilichotokea Machi 17, 2021 katika hospitali ya Mzena Jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu ya maradhi ya moyo. Rais Magufuli…
16 March 2021, 4:08 AM
HOSPITALI ya Mkomaind imenunua mashine ya X-ray
HOSPITALI ya Mkomaindo iliyopo halmashauri ya mji Masasi mkoani Mtwara imenunua mashine tatu za kisasa ikiwemo mashine ya X-ray ambayo ni Digital X-ray Mashine ambapo mashine hizo tatu zina thamani ya sh.161 milioni lengo likiwa ni kuboresha upatikanaji wa huduma…
10 March 2021, 11:45 AM
Ndoa Na Taraka Katika Jamii!!!
Hakimu mkazi mfawidhi mahakama ya mwanzo lisekese masasi LIGHTINESS MASIMBA alipokuwa akizungumza na kipini cha amka na radio fadhila akizungumzia maswala ya ndoa na taraka ameeleza maana ya ndoa kwa mujibu wa sheria ya ndoa sheria number 29 iliyofanyiwa marejeo…
26 February 2021, 5:14 AM
BARAZA la Madiwani lapitisha Rasimu ya Bajeti 2021/2022
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara limepitisha Rasimu ya Mpango wa Bajeti kwa Mwaka wa fedha 2021/2022,Mpango huo umepitishwa katika kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika jana tarehe 24, Febuari katika ukumbi wa Halmashauri hiyo…