Radio Fadhila

masasidc

16 March 2021, 4:08 AM

HOSPITALI ya Mkomaind imenunua mashine ya X-ray

HOSPITALI ya Mkomaindo iliyopo halmashauri ya mji Masasi mkoani Mtwara imenunua mashine tatu za kisasa ikiwemo mashine ya X-ray ambayo ni Digital X-ray Mashine ambapo mashine hizo tatu zina thamani ya sh.161 milioni lengo likiwa ni kuboresha upatikanaji wa huduma…

10 March 2021, 11:45 AM

Ndoa Na Taraka Katika Jamii!!!

Hakimu mkazi mfawidhi mahakama ya mwanzo lisekese masasi  LIGHTINESS  MASIMBA alipokuwa akizungumza na kipini cha amka na radio fadhila akizungumzia maswala ya ndoa na taraka ameeleza maana ya ndoa kwa mujibu wa sheria ya ndoa sheria number 29 iliyofanyiwa marejeo…

26 February 2021, 5:14 AM

BARAZA la Madiwani lapitisha Rasimu ya Bajeti 2021/2022

BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara limepitisha Rasimu ya Mpango wa Bajeti kwa Mwaka wa fedha 2021/2022,Mpango huo umepitishwa katika kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika jana tarehe 24, Febuari katika ukumbi wa Halmashauri hiyo…