masasidc
9 July 2021, 7:19 AM
Mtoto ambaye ni Msichan amekufa baada ya fisi kuvamia Jando la wasichana
Mtoto ambaye ni Msichana mwenye umri wa miaka nane wa kijiji cha kivukoni kata ya Chiwale , Wilayani Masasi mkoani Mtwara ambapo mtoto huyo alikuwa amewekwa unyango Jandoni amekufa baada ya fisi kuvamia Jando la wasichana na kumkamata mtoto huyo…
20 May 2021, 11:35 AM
TATEDO Kushirikiana na WWF yatoa majiko 2 na Sufuria 2 kupunguza uharibifu wa ma…
Shirika lisilo la kiserikali TATEDO linalo jihusisha na uendelezaji wa teknolojia na huduma za nishati endelevu tanzania, katika ukanda huu wa ruvuma linatekeleza Mladi wa kuleta mabadiliko katika sekta ya nishati na mradi huu unafaziliwa na WWF tanzania na kushirikiana…
19 May 2021, 5:38 AM
CHAMA Cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) Kuweka Madawati Ya Lugha Ya Alama
CHAMA Cha viziwi Tanzania (CHAVITA) tawi la mkoa Mtwara kimeiomba serikali kuweka madawati ya lugha ya alama katika vituo vya kutolea huduma za afya mkoani Mtwara lengo likiwa ni kupunguza vikwazo vya mawasiliano kati ya viziwi na wahudumu wa afya.…
21 April 2021, 1:08 PM
Yusuphu Namnila Ameipongeza Serikali ya Tanzania kwa kutenga bajeti ya pembejeo…
Mwenyekiti wa chama Cha Ccm Mkoa wa mtwara Yusuphu Namnila ,Ameipongeza Serikali ya Tanzania kwa kutenga bajeti ya pembejeo kwa ajili ya Wakulima wa zao la korosho,Nakuwaomba Wakulima kupokea kwa kile kilichoratibiwa na kukifanyia kazi ,Na kujiuliza kwanini uzalishaji wa…
21 April 2021, 11:57 AM
Nanyumbu imezindua rasmi mpango wa utekelezaji wa kunusuru kaya masikini
HALMASHAURI ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara imezindua rasmi mpango wa utekelezaji wa kunusuru kaya masikini kupitia mfuko wa maendeleoya jamii (TASAF III) kipindi cha pili, awamu ya tatu.Mpango huo ulizinduliwa jana wilayani Nanyumbu katika kikao kazi cha kujenga uwelewa…
20 April 2021, 5:15 AM
WANANCHI waishio vitongoji saba vilivyopo kata ya Nagaga wilayani Masasi wamecha…
WANANCHI waishio vitongoji saba vilivyopo kata ya Nagaga wilayani Masasi mkoani Mtwara wameamua kujitolea nguvu kazi kuchanga sh.5000 kwa kila kaya na kufyatua matofari lengo ni kujenga majengo mawili ya kisasa ambayo yatatumika kufunga vifaa tiba ikiwemo kiti cha kung’olea…
20 April 2021, 5:10 AM
CHAMA kikuu Cha Ushirika wa wakulima Mtwara-Masasi ( MAMCU) kimezindua rasmi uje…
CHAMA kikuu Cha Ushirika wa wakulima Mtwara-Masasi ( MAMCU) kimezindua rasmi ujenzi wa ghala kubwa la kisasa la kuhifadhia mazao mbalimbali yaliyo katika mfumo wa stakabadhi mazao ghalani ikiwemo korosho lenye uwezo wa kuhifadhi mazao tani zaidi ya 5000 Ujenzi…
20 April 2021, 5:05 AM
MAAFISA ugani( kilimo) wapatiwa Pikipiki
MAAFISA ugani( kilimo) wa Chama kikuu cha Ushirika wa wakulima Mtwara-Masasi ( MAMCU) wapatiwa Pikipiki kama vitendea kazi ili ziweze kuwarahisishia kutekeleza majumu yao katika kuvitembelea na kuvihudumia vyama vya msingi ili kutoa elimu ya kilimo kwa wakulima na kuongeza…
23 March 2021, 9:22 AM
MKUU Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara., Selemani Mzee asaini kitabu cha maombolezo
MKUU Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara., Selemani Mzee akisaini kitabu cha Kumbumbuku ya maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais Dkt. John Magufuli kilichotokea Machi, 17 mwaka huu, kitabu hicho cha maombelezo hayo kimefunguliwa kkatika ofisi ya mkuu ya wilaya ya…
23 March 2021, 9:12 AM
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi-CCM Wilaya ya Masasi wamlilia Rais Dkt. John Po…
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi-CCM Wilaya ya Masasi wamlilia Rais Dkt. John Pombe Magufuli na kueleza kuwa taifa limepoteza kiongozi shujaa na mpenda maendeleo na kwamba alikuwa ni mtetezi wa wananchi wanyonge hivyo wataendelea kumkumbuka milele. Wanachama hao leo Mach,…