Pangani FM

NYERERE

30 June 2022, 7:03 pm

Mwili wa mtu mmoja waokotwa ukiwa umeharibika Pangani.

Jeshi la Polisi Wilayani Pangani Mkoani Tanga limethibitisha kuokotwa kwa mwili wa mtu moja Mwanaume anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 24 hadi 25 aliyefahamika kwa jina Kombo Juma katika eneo la Kumba Mtoni lililopo kwenye kijiji cha Pangani…

20 June 2022, 7:09 pm

Pangani FM kuongeza nguvu katika Sensa 2022

Kituo cha Redio Pangani FM kilichopo wilayani Pangani mkoani Tanga kinatarajia kuongeza nguvu katika kuisaidia serikali kufanikisha zoezi la sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022. Hayo yameelezwa na mhariri wa kituo hicho Bw. Erick Mallya kufuatia mafunzo maalum…

15 September 2021, 4:12 pm

Madaraka Nyerere: Baba alikuwa hivi.

October 14 mwaka 2020 ilikuwa Kumbukizi ya Kitaifa ya miaka 21 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kilichotokea Oktoba 14, 1999 nchini Uingereza alipokuwa anapatiwa matibabu Mwalimu Nyerere ni mmoja kati ya waasisi wa Taifa la Tanzania, ambaye alishiriki…