MAZINGIRA
4 April 2022, 4:59 pm
Halmashauri ya Pangani yazindua kampeni ya upandaji miti.
Halmashuri ya wilaya ya pangani mkoani Tanga imezindua kampeni ya upandaji miti kiwilaya kwa kuhimiza wananchi kupanda miche ya miti mitano kwa kila kaya na kuhakikisha miche hiyo inatunzwa ilikuleta ustawi himilivu wa mazingira . Wakizungumza wakati wa kuzindua kampeni…
4 June 2021, 8:40 pm
Wasikilizaji wa Pangani FM na Safari ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.
Kuelekea kilele cha siku ya mazingira duniani Pangani FM imewafikia baadhi ya wadau ikiwemo wananchi wnaosikiliza kipindi cha Mazingira ‘nitunze nikutunze’ kinachoruka hewani kupitia 107.7 Pangani FM kila siku ya Ijumaa na kurudiwa siku ya Jumamosi kuanzia saa 12 na…
22 February 2021, 8:14 pm
Viwanda Mkoani Tanga vyatakiwa kuzingatia Sheria ya Mazingira.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Rais Muungano na Mazingira, Mh Ummy Mwalimu leo amefanya ziara katika jiji la Tanga ambapo amehimiza utunzaji wa Mazingira hususani kwa kuvitaka Viwanda kujiepusha na uchafuzi wa Mazingira. Akziungumza katika Ofisi ya Mkuu…
2 February 2021, 9:14 pm
Waziri Ummy Mwalimu: NEMC ongezeni kasi ya kutoa Elimu.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Ummy Mwalimu ameliagiza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira nchini kuongeza kasi ya utoaji elimu kwa umma ili kuwasaidia wenye viwanda na wawekezaji kuzingatia Sheria…