Pangani FM

MAZINGIRA

4 April 2022, 4:59 pm

Halmashauri ya Pangani yazindua kampeni ya upandaji miti.

Halmashuri ya wilaya ya pangani mkoani Tanga imezindua kampeni ya upandaji  miti kiwilaya kwa kuhimiza wananchi kupanda miche ya miti mitano kwa kila kaya na kuhakikisha miche hiyo inatunzwa ilikuleta ustawi himilivu wa mazingira . Wakizungumza wakati wa kuzindua kampeni…

2 February 2021, 9:14 pm

Waziri Ummy Mwalimu: NEMC ongezeni kasi ya kutoa Elimu.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Ummy Mwalimu ameliagiza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira nchini kuongeza kasi ya utoaji elimu kwa umma ili kuwasaidia wenye viwanda na wawekezaji kuzingatia Sheria…