Pangani FM

MAENDELEO

9 November 2021, 1:17 pm

Zaidi ya Milioni 59 kutolewa mikopo kwa vikundi Pangani.

Halmashauri ya wilaya ya Pangani Mkoani Tanga imfanikiwa kutenga kiasi cha milioni 21.34 ikiwa ni asilimia kumi ya mapato ya halamshauri hiyo ndani ya robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2021/22 zitakazokopeshwa kwa vikundi mbalimbali vya vijana,wanawake na walemavu.…

10 March 2021, 7:27 pm

Makamu wa Rais kufanya Ziara Wilayani Pangani.

Mkuu wa wilaya ya Pangani Bi Zainab Abdallah ametangaza ujio wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Wilayani Pangani. Akizungumza na PANGANI FM leo Bi Zainab amesema kuwa Makamu wa Rais anatarajiwa kuwasili…