HABARI ZA TANGA
17 March 2021, 10:11 am
Kukatika Umeme sasa basi.
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa, tatizo la kukatika umeme mara kwa mara ambalo lilijitokeza katika maeneo mbalimbali nchini siku za hivi karibuni limemalizika. Akizungumza na wakazi wa wilaya ya Muheza mkoani Tanga ikiwa ni sehemu ya ziara…
10 March 2021, 10:41 am
Kuelekea ziara ya Makamu wa Rais Tanga,RC Shigela atembelea Mradi ya Maji Korogw…
Mkuu wa Mkoa Tanga Mh.Martine Shigela akiwa na Kamati ya usalama ya Mkoa na wilaya ametembelea na kujionea ukamilifu wa Mradi wa Maji unaounganisha vijiji vya Kwasunga mpirani kata ya Makuyuni na Kwasung_A kilichopo kata ya Magiragereza wilayani Korogwe Mkoani…
22 February 2021, 8:14 pm
Viwanda Mkoani Tanga vyatakiwa kuzingatia Sheria ya Mazingira.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Rais Muungano na Mazingira, Mh Ummy Mwalimu leo amefanya ziara katika jiji la Tanga ambapo amehimiza utunzaji wa Mazingira hususani kwa kuvitaka Viwanda kujiepusha na uchafuzi wa Mazingira. Akziungumza katika Ofisi ya Mkuu…
4 February 2021, 7:55 pm
Baraza la Wazee Tanga rasmi, Pangani ina wazee wachache zaidi.
WATUMISHI wa ngazi zote mkoani Tanga wameaswa kuacha kudharau na kuwanyanyapaa wazee pindi wanapofuata huduma kwenye ofisi zao badala yake kuwanyenyekea na kuwapa kipaumbele ili kupata Baraka. Hayo yamesemwa jana na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe.Martin Shigela wakati akizindua…
20 January 2021, 7:06 pm
Ziara ya Waziri Mkuu Tanga: Sikiliza hapa mipango ya Serikali juu ya Mkonge.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yuko ziarani Mkoani Tanga,ziara yenye lengo la kuhamasisha uendelezaji wa zao la Mkonge. ziara hii inakuaja kama sehemu ya ufuatiliaji wa maagizo aliyotoa katika ziara yake mnamo mwezi Juni 2020. Mwanahabari wetu…
20 January 2021, 3:36 pm
Ziara ya Waziri Mkuu Tanga: Wakulima wa Mkonge washauriwa kuanzisha Ushirika.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema lengo la Serikali ni kuhakikisha zao la mkonge linaendelezwa na kuwanufaisha watu wote wanaoshughulika na zao hilo. Waziri Mkuu amesema hayo akiwa ziarani Mkoani Tanga wakati wa mkutano ulioshirikisha Wadau mbalimbali wa zao la mkonge,…
19 January 2021, 4:20 pm
Ziara ya Waziri Mkuu Tanga: atagawa Mbegu kwa wakulima,Wadau wote wa Mkonge wa…
Wadau mbalimbali wa zao la Mkonge Mkoani Tanga wamealikwa kushiriki katika kikao maalum kitakachofanyika Mkoani humo katika Ukumbi wa Regal Naivera Mkoani uliopo Tanga Jiji. Akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini kwake leo Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigela…