Mafuriko
22 April 2024, 6:49 pm
Wakazi uwanja wa taifa A mjiini Ifakara wakosa huduma za maji na choo kutokana n…
Na: Katalina Liombechi Mafuriko yamekuwa chanzo cha kukosa huduma muhimu za kibinadamu, kama vile; maji ya kunywa, vyoo, malazi na hata chakula. Hali hiyo pia imesimamisha baadhi ya shughuli za kila siku kwa kaya zilizokumbwa na mafuriko, hivyo njaa, magonjwa…
17 April 2024, 11:31 pm
Waathirika wa mafuriko Kilombero wapokea mssaada wa chakula tani 6
mifuko ya chakula – Picha na; Katalina Liombechi Kufuatia Adha ya Mafuriko katika Maeneo mbalimbali Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro,Kampuni ya Sukari Kilombero imekabidhi tani 6 za Vyakula zenye thamani zaidi ya Sh Mil 14 kusaidia Waathirika wa Mafuriko. Na:…
8 April 2024, 6:02 pm
Ulanga: Shule ya msingi Kivukoni yaendelea kufungwa kutokana na mafuriko
“Kama maji yatakauka kabla ya April 15 mwaka huu shule ifunguliwe na kama hayatakauka shule isifunguliwe” Ni maagizo ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmshauri ya Wilaya ya Ulanga Saida Mahugu. Na Elias Maganga Wakati shule zote zikifunguliwa baada ya mapumziko ya…
3 April 2024, 11:58 am
Ujenzi wa Mabwawa ya kuvuna maji ya mvua yatasaidia kuondoa Mafuriko- Ifakara
“Maelekezo ya Mh Rais Samia Suluhu Hassani kwa Wizara ya maji na sekta zake ni kuhakikisha wanajenga mabwawa ya kimkakati ya kuvuna maji ya mvua ili kuzuia mafuriko”=Waziri wa Maji Mh,Juma Aweso Na Elias Maganga Wizara ya maji imesema leo…
25 March 2024, 5:31 pm
Mafuriko yaua mtu mmoja Ifakara
Wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara wametakiwa kuwa makini katika kipindi hiki cha mafuriko na pia wazazi wanapaswa kuwaangalia watoto wao wasiwaache kwenda kuchezea maji kwani wanaweza kupoteza maisha Na Elias Maganga Baadhi ya maeneo katika Halmashauri ya Mji…