Elimu
19 April 2024, 8:28 pm
Maisha ya mwanadamu yanategemea bionuai iliyohifadhiwa
Na Katalina Liombechi Imeelezwa kuwa Utunzaji wa Bionuai unasadia Uendelevu wa maisha ya Binadamu na Viumbe hai kwa Ujumla. Mhifadhi Kutoka Shirika linalojihusisha na Urejeshaji wa Misitu Afrika(Reforest Africa) Helman Lyatuu amesema hayo Wakati akizungumza na Pambazuko Fm kuhusu Uhifadhi…
25 June 2021, 6:14 am
Kambi Kusaidia Wanafunzi Wasichana Kutimiza Ndoto zao
Na; Katalina Liombechi Mkurugenzi msaidizi wa Elimu ya Msingi kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Susana Nyarubamba amesema ili msichana aweze kuwa salama jamii na wazazi wanatakiwa kutengeneza utamaduni wa kuwa walinzi wa watoto wao kila wakati wawapo shuleni…
25 June 2021, 5:51 am
Wananchi Watakiwa Kuchangia Maendeleo ya Shule
Na:Katalina Liombechi Wananchi wa Kata ya Igawa katika Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi wameombwa wawe na Utaratibu wa kuchangia michango ya Shule bila kujali kuwa ana au hana Mtoto anayesoma katika shule husika. Kauli hiyo imetolewa na Diwani wa Kata…
18 May 2021, 5:50 am
Wananchi Wachangia Ujenzi wa Madarasa
Wananchi wa Mtaa wa Jongo,Kata ya viwanja sitini katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara Wilayani Kilombero wamechanga mchango wa fedha kiasi cha shilingi milioni tatu na Elfu tisini kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya maadarasa katika shule ya sekondari…