Orkonerei FM

Ujasiriamali

12 March 2022, 2:48 pm

Wajane na mradi wa ufugaji wa ndama.

HABARI. NA NYANGUSI OLE SANG’IDA.Kikundi Cha kinamama wajane Noondomonock Sara benk ambacho kipo kata ya Esilalei Kijiji Cha Esilalei leo wamegawana Ndama 16 Ambazo ni faida walioipata baada kikundi hicho kufanya Shughuli za ufugaji na unanepeshaji. Kikundi hicho Cha wajane…

9 March 2022, 10:03 pm

Mkopo kwa waendesha Bodaboda Arusha

Na nyangusi Olesan’gida . Mkuu wa Wilaya ya Arusha Said Mtanda amezindua Ofisi ya waendesha pikipiki (Bodaboda) katika Kata ya Kaloleni. Akizindua Ofisi hizo Mkuu wa Wilaya amewataka vijana kuendelea kuheshimu alama za barabarani sambamba na kutotumia pikipiki zenye adha…