Orkonerei FM

Mazingira

8 February 2024, 12:58 pm

Umeme jua unavyotumika katika  ushoroba wa Kwakuchinja

Licha ya hatari inayokumba ushoroba wa Kwakuchinja lakini bado kuna jitihada zinazofanywa na wadau mbalimbali kuhakikisha kuwa ushoroba huo unalindwa na kuendelezwa kwa manufaa ya wanyamapori na jamii zinazozunguka. Na Isack Dickson. Ushoroba wa Kwakuchinja ni sehemu muhimu ya makazi…

13 March 2022, 9:29 pm

1.2 Billions Yatengwa kwa watakaohama Ngorongoro

HABARI.WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan Serikali imetenga sh bilioni 1.2 kwa ajili ya awamu ya kwanza ya mradi wa ujenzi wa nyumba za wananchi watakaokubali kwa hiari kuhama…

10 March 2022, 10:27 pm

Kaya 86 Kuondoka Ngorongoro

HABARI WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea orodha ya majina ya awali ya kaya 86 zenye watu 453 ambao wamekubali kuondoka kwenye hifadhi ya Ngorongoro kwa hiari yao huku wengine wakiendelea kujiandikisha. Hatua hiyo ni utekelezaji wa mazungumzo ambayo Waziri Mkuu…

8 November 2021, 1:35 pm

Mafunzo ya Usimamizi na Utunzaji wa Misitu.

08.11.2021 Na Baraka David Ole Maika: Viongozi wa Vijiji na Wasimamizi wa Misitu 55 kutoka Wilaya Ngorongoro wamepatiwa Mafunzo ya Usimamizi na Utunzaji wa Misitu. Mafunzo hayo ya Siku Tatu yamefanyika katika Chuo cha Misitu olmotonyi iliyopo Ngaramtoni Halmashauri ya…