HABARI
27 February 2024, 4:07 pm
Ujirani mwema baina ya TAWA na jamii ya Simanjiro.
Mamlaka ya Usimamizi Wanyamapori Tanzania – TAWA Kanda ya Kaskazini kitengo cha ujirani, ofisi ya Ikolojia Simanjiro Lokisale wametoa elimu ya uhifadhi na manufaa yatokanayo na Wanyamapori. Na Baraka David Ole Maika. Akizungumza na Viongozi mbalimbali, wazee mashuhuri na wakaazi…
11 February 2024, 9:45 am
Malaigwanani wabadilisha mtazamo hasi juu ya wanawake jamii ya kimaasai
Na Isack Dickson. Wazee wa kimila wa jamii ya kimaasai malaigwanani (laigwanak) wamefanikiwa kubadilisha mitazamo hasi waliyokuwanayo wanajamii hao juu ya uwezo wa wanawake katika kufanya maamuzi ndani ya familia na hata kwenye jamii. Hayo yameelezwa na mwenyekiti wa malaigwanani…
28 March 2022, 6:09 pm
Waandishi wa habari wametakiwa kutumia kalamu zao viziri
Na pascal sulle Tanga Waandishi wa habari kutoka redio za kijamii wametakiwa kutumia kalamu zao vizuri katika kuandika habari zinazozingatia maadili ya uandishi wa habari ndani ya jamii. Akizungumza wakati akifungua semina ya waandishi wa habari iliyoandaliwa na tume ya…