Nuru FM

Miundombinu

27 April 2024, 10:37 am

TANROAD waweka kambi kutengeneza barabara ya Moro-Iringa

Licha ya mvua kuendelea kunyesha na kuharibu miundombinu ya barabara Serikali imeendelea kuhakikisha miundombinu hiyo inaboreshwa. Na Aisha Malima Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Morogoro inaendelea na kazi ya kuziba mashimo na kukarabati barabara kuu ya…

25 April 2024, 9:50 am

Mbunge Nyamoga aanza ziara Kilolo, barabara yawa kero kubwa

Mvua zinazoendelea kunyesha hapa Nchini zimesababisha uharibifu katika Barabara hasa eneo la Katika jimbo la Kilolo Mkoani Iringa. Na Mwandishi wetu Mbunge wa Jimbo la Kilolo Mkoani Iringa Justin Nyamoga amefanya ziara ya kutembelea barabara zilizopo katika Kijiji cha Lulindi…

22 April 2024, 10:39 am

Barabara ya Mafinga- Mtwango yatengenezwa

Kukarabatiwa kwa Barabara ya Mafinga- Mtwango ambayo imekuwa ikitumiwa na wakazi wa eneo hilo katika shughuli za kiuchumi imekuwa mkombozi. Na Tumain Msowoya Serikali imenza kutengeneza Eneo la Barabara ya Mafinga – Mtwango lililokuwa na utelezi hadi kusababisha magari kukwama…

16 April 2024, 10:14 am

Wananchi wa Wangama Iringa wanakabiliwa na adha ya usafiri

Licha ya serikali kuweka kipaumbele katika ujenzi wa miundombinu ya barabara, dado wananchi wa Kijiji cha Wangama wanakabiliwa na changamoto ya usafiri. Na Fabiola Bosco Wananchi wa kijiji cha Wangama kata ya Luhota halmashauri ya wilaya ya Iringa wanakabiliwa na…

4 April 2024, 8:13 pm

Malori yanayotoka Mufindi yakwama Nyamande

Na Mwandishi wetu Zaidi ya maroli 25 ambayo yanasafirisha bidhaa mbalimbali kutoka kiwanda cha karatasi Mgololo wilaya Mufindi mkoani Iringa yamekwamba kwa zaidi ya siku tano katika kijiji cha Nyamande na Kitandiliko halmashauri ya mji wa Makambako wilayani Njombe kutokana…

7 March 2024, 4:40 pm

Madereva Iringa washangaa kivuko kuondolewa

Kuondolewa kwa kivuko Cha katika stendi ya zamani Iringa kumetajwa kuwa sababu ya ongezeko la foleni na magari yao kuharibika. Na Godfrey Mengele Madereva wanaotumia kituo cha stendi kuu ya zamani, kwa sasa ikifahamika kama stendi ya daladala wameshangazwa na…