Nuru FM

Mifugo

17 May 2024, 8:54 am

Polisi Iringa watoa tamko wizi wa mifugo

Wizi wa mifugo umekuwa desturi iliyoenea na wakati mwingine inayosababisha wafugaji kuwa maskini jambo lililopelekea jamii hiyo kuazimia namna ya kukabiliana na changamoto. Na Joyce Buganda Wizi wa mifugo watajwa kuwa kikwazo kikubwa kwa wadau wa ufugaji mkoani iringa  huku…

2 May 2024, 10:00 am

Wizi wa mifugo washamiri Kiwele

Wananchi wa Kata wa Kiwele wametaka kukomeshwa mara moja tabia wizi wa mifugo unaofanywa na vijana wenye nia mbaya. Na Joyce Buganda Wimbi la wizi wa mifugo limeshika kasi katika Kijiji na kata ya kiwele Halmashauri ya Wilaya ya Iringa…

26 April 2024, 9:58 am

Wananchi Kiwele waomba josho la kuogeshea mifugo

Kuogesha mifugo ni muhimu sana kwani husaidia katika kudhibiti wadudu wanaosababisha magonjwa. Na Joyce Buganda Wananchi wa kata ya Kiwele iliyopo jimbo la Kalenga  mkoani  Iringa wanakumbana na changamoto ya ukosefu wa josho jambo linalopelekea kutembea umbali mrefu kwenda kuogesha…