Mifugo
17 May 2024, 8:54 am
Polisi Iringa watoa tamko wizi wa mifugo
Wizi wa mifugo umekuwa desturi iliyoenea na wakati mwingine inayosababisha wafugaji kuwa maskini jambo lililopelekea jamii hiyo kuazimia namna ya kukabiliana na changamoto. Na Joyce Buganda Wizi wa mifugo watajwa kuwa kikwazo kikubwa kwa wadau wa ufugaji mkoani iringa huku…
2 May 2024, 10:00 am
Wizi wa mifugo washamiri Kiwele
Wananchi wa Kata wa Kiwele wametaka kukomeshwa mara moja tabia wizi wa mifugo unaofanywa na vijana wenye nia mbaya. Na Joyce Buganda Wimbi la wizi wa mifugo limeshika kasi katika Kijiji na kata ya kiwele Halmashauri ya Wilaya ya Iringa…
26 April 2024, 9:58 am
Wananchi Kiwele waomba josho la kuogeshea mifugo
Kuogesha mifugo ni muhimu sana kwani husaidia katika kudhibiti wadudu wanaosababisha magonjwa. Na Joyce Buganda Wananchi wa kata ya Kiwele iliyopo jimbo la Kalenga mkoani Iringa wanakumbana na changamoto ya ukosefu wa josho jambo linalopelekea kutembea umbali mrefu kwenda kuogesha…