Nuru FM
Habari za Kitaifa
24 March 2022, 4:53 pm
Rais Samia Aagiza Nembo Ya Daraja La Tanzanite Kubadilishwa
RAIS Samia Suluhu Hassan, amezindua daraja jipya la Selender (TANZANITE), lenye urefu wa kilomita 1.03 ambalo limetumia sh.bilioni 243 na kuagiza nembo ya mwenge wa uhuru iondolewe na kuwekwa ya Tanzanite. Akizungumza katika ufunguzi huo amesema nembo ya daraja hilo…
24 March 2022, 6:00 am
Siku 365 Za Mheshimiwa Rais Samia Zaweka Alama Ya Mafanikio Makubwa Katika Sekta…
Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameweka alama kubwa ya mafanikio katika maendeleo ya sekta ya masoko ya mitaji katika kipindi cha siku 365 za uongozi wake. Akielezea mafanikio makubwa yaliyopatikana, Afisa Mtendaji Mkuu wa…