Nuru FM

Habari za Kitaifa

24 March 2022, 4:53 pm

Rais Samia Aagiza Nembo Ya Daraja La Tanzanite Kubadilishwa

RAIS Samia Suluhu Hassan, amezindua daraja jipya la Selender (TANZANITE), lenye urefu wa kilomita 1.03 ambalo limetumia sh.bilioni 243 na kuagiza nembo ya mwenge wa uhuru iondolewe na kuwekwa ya Tanzanite. Akizungumza katika ufunguzi huo amesema nembo ya daraja hilo…